ni kweli alikwenda huko , sikumbuki tarehe, ila ni mwezi wa sita mwishoni. magazeti yaliandika kuwa kaenda huko, sikuamini. alipord aliongea na waandishi dar, akasema ilikuwa safari nzuri , malengo yametimia
Hata kama Lowasa anakosea hapa tunamhukumu bure..... Yeye si ni mkiristo....uamuzi wake kwenda kwenye mahubiri yoyote au mahali popote anapotaka kwenda kusikiliza neno la Mungu sioni kama ni tatizo... Uwezo anao na si dhambi au kusema kuwa kaenda kufanya ushirikina.... Hapa sasa tunakwenda mbali hasa tunapoingilia uhuru wa mtu katika kuabudu...... What is the problem so far
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.