Unbelievable
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 262
- 115
huyo atakuwa tapeli,namuonaga ktk TV anaombea mapepo lakini yanagoma kutoka,na kuna siku mapepo yatakuja kumdunda
Media hizo ziko tayari kurusha hewani watu wasio na huruma hata kidogo na watanzania kuliko kurusha vipindi vitakavyopelekea Tanzania kupata uhuru wa kweli na siyo wa magumashi iliopo.