Mhh!, mambo mengine mnajitafutia laana za maisha, Yesu unamfananisha na tumbili halafu unasema alifanya kosa, wewe kalagabao omba radhi la sivyo yatakayo kukuta utajuta kudakia mambo yasiyo kuhusuYesu hakuwa na bodigadi matokeo yake si umeyaona? Ametundikwa kwenye mti kama tumbili hakukua na wa kumtetea!..mwacheni jamaa ajilinde na mabodigadi asije kurudia kosa la bwana yesu
Mimi nasema na apige sana kama wajinga wamejipeleka wenyewe kudanganywa afanyeje?Yule anaitwa Mastahi! nasiki anapiga mpaka vifuti kama pepo linaleta ujuaji
Nakushauri tu ubaki na dini yako siku ikifika utamgeukia Yesu Kristo kama wengine wanavyo shuhudiakamagetac
'Na wao (Wakiristo) ati husema kuwa Arrahmann Mwingi wa Rehema ana mwana !
Hakika m'meleta jambo la (kuchukiza) kuchusha mno !
Zinakaribia mbingu kutatuka kwa hilo, na ardhi kupasuka, na milima kuanguka vipande vipande
Kwa kudai kwao kuwa Arrahmann Mwingi wa Rehema ana mwana.
Hapana yeyote aliyemo mbinguni na ardhi ila atafika kwa Arrahmann Mwingi wa rehema kuwa ni mtumwa wake.
Hakika yeye amewadhibiti (viumbe wake wote) na amewahisabu sawa sawa.
Na kila mmoja katika wao atamfikia siku ya Kiama peke yake
Qur'an: 19:88-95
'Haiwi kwa Mwenyezi Mungu kuwa na mwana, Subhanahu, Yeye ametakasika ! Anapo hukumu jambo basi huliambia tu: Kuwa ! (mara) Likawa.
Qur'an: 19:35
Nakushauri tu ubaki na dini yako siku ikifika utamgeukia Yesu Kristo kama wengine wanavyo shuhudia
Huwezi kumuabudu ila unamtambua kuwa ni mwana wa Mungu
kamagetac hilo liko wazi siwezi kuabudu Mtu Yesu.
'Enyi Makafiri
(Mimi) Siabudu mnachoabudu.
Wala nyinyi hamuabudu ninayemuabudu.
Wala sitaabudu mnachoabudu.
Wala nyinyi hamtamuabudu ninaye muabudu.
Nyinyi mna dini yenu nami nina dini yangu
Qur'an: 109: 1-6.
'
[MENTION=62194]
kamagetac hilo liko wazi siwezi kuabudu Mtu Yesu.
'Enyi Makafiri
(Mimi) Siabudu mnachoabudu.
Wala nyinyi hamuabudu ninayemuabudu.
Wala sitaabudu mnachoabudu.
Wala nyinyi hamtamuabudu ninaye muabudu.
Nyinyi mna dini yenu nami nina dini yangu
Qur'an: 109: 1-6.
'
KIKOSIKAZI :yo:Tena ni bora kuwa kafir,kuliko kuwa mtu wa dini ya amani yenye kumwaga damu dunian.
Miungu wako wengi lakin kaa ukijua "Mungu wako ndio shetan wangu mim kafir"
Haya tuonyeshe wapi ilipi Injili ya Isa Bin Maryam, sina muda wa Quran maana Quran sio Injil na wala Quran sio Biblia [Mkusanyiko wa vitabu]
Huu nao ni msiba kwenu.
Huyu jamaa simuelewi elewi! Anahubiri kibabe sana na vitisho vitisho vya kishirikina. Anasema anaponya magonjwa tote mpaka ukimwi.
Changa cheche:
1. Kwa wanaomjua, ile Huduma ya kuombea kwa kusukuma na vitisho kaagizwa na nani?
2. Wale walinzi wake anawalipa sh ngapi? Hivi wewe ni mtumishi wa Mungu, walinzi/mabodigadi wa nini? Yaani kila mahali mpaka kanisani mnaboa!
Manabii wengi Usiku hizi Huduma zenu hatuzielewi aisee.
Ukiona mtu yeyote anayehubiri Injili kwa mbwembwe na vitisho ujue anajitumikia mwenyewe. Injili maana yake ni habari njema sasa vitisho vya nini? Anayo ya ni Yesu ambaye Hana walinzi siyo mwanadamu.Huyu jamaa simuelewi elewi! Anahubiri kibabe sana na vitisho vitisho vya kishirikina. Anasema anaponya magonjwa tote mpaka ukimwi.
Changa cheche:
1. Kwa wanaomjua, ile Huduma ya kuombea kwa kusukuma na vitisho kaagizwa na nani?
2. Wale walinzi wake anawalipa sh ngapi? Hivi wewe ni mtumishi wa Mungu, walinzi/mabodigadi wa nini? Yaani kila mahali mpaka kanisani mnaboa!
Manabii wengi Usiku hizi Huduma zenu hatuzielewi aisee.
.sana mkuu,usikute anakata hadi mitama kama pepo ni jeuri.hii ndo jf baaanaumenifurahisha sana!