Nabii Frank Kilawa unatutishia maisha!

Nabii Frank Kilawa unatutishia maisha!

Yesu hakuwa na bodigadi matokeo yake si umeyaona? Ametundikwa kwenye mti kama tumbili hakukua na wa kumtetea!..mwacheni jamaa ajilinde na mabodigadi asije kurudia kosa la bwana yesu

aisee...dah
 
Loh!!!! huyu shetani sijui katumwa na nani, mahubiri yake hayatofautiani na lamri, nimchonganishi hadi basi, nimeona jana star tv anamwambia mama mmoja ambaye alimpeleka mwanae aombewe, kwa mwonekano mtoto anaonekana anautindio wa ubongo, yeye akasema mtoto alitolewa kafara na marehemu baba yake yaani nilichoka zaidi kajikanyaga hajamwombea kasema nitamweka kwenye maombi yangu lol..... kila aliyeenda kuombewa kwake amerogwa, kwa kweli serikali iliangalie hili swala la wahubiri wapiga ramli.

huyo mtu jaman ni shida!! kuna baba alienda na familia yake akawaambia aliyewafanya hivo ni yule mwanamke fulan (akamtaja jina na baba akakili kweli huyo mwanamke alikuwa naye) halaf anaambiwa hivo mbele ya mke na watoto, yani mahubir ya huyo jamaa ni pure lamri yaan!!! nilicjoka kabisa
 
Ngoja nikusaidie kitu ndugu Yangu
Hata shetani anaweza vzr kufanya hiyo kazi,ndo wale waganga wenye pepo la utambuzi!!anakwambia kila kitu mpaka future yako!
So hiyo isikufanye uamini ni mtumishi wa Mungu!

Sasa ili kutofautisha lazima uwe na roho wa Mungu unless utachanganywa!!!

Sasa ngoja nikupe mwanga kidogo, mtumishi yyt wa kweli wa Mungu hawezi kukwambia umerogwa na Fulani ht km ni kweli,roho mtakatifu ana hekima! Unless yawe mapepo yamelipuka ndo huwa yanaongea mambo mengi, bt mtumushi ni kukuombea Mungu akufungue ht km umerogwa kweli.
Pia unapopata neno la unabii,Mungu hua na soln hapohapo.

Simjui huyo frank so siwez kusema lolote juu take,but ngoja nimfuatilie nitakwambia .
Kwa maelezo yako na nilivyo kuelewa huyu mtumishi Frank pamoja na wengine wanaojiita watumishi wa Mungu wanao ombea watu na kuwaambia matatizo yao ni waganga(wenye mapepo ya utambuzi)
 
Ngoja nikusaidie kitu ndugu Yangu
Hata shetani anaweza vzr kufanya hiyo kazi,ndo wale waganga wenye pepo la utambuzi!!anakwambia kila kitu mpaka future yako!
So hiyo isikufanye uamini ni mtumishi wa Mungu!

Sasa ili kutofautisha lazima uwe na roho wa Mungu unless utachanganywa!!!

Sasa ngoja nikupe mwanga kidogo, mtumishi yyt wa kweli wa Mungu hawezi kukwambia umerogwa na Fulani ht km ni kweli,roho mtakatifu ana hekima! Unless yawe mapepo yamelipuka ndo huwa yanaongea mambo mengi, bt mtumushi ni kukuombea Mungu akufungue ht km umerogwa kweli.
Pia unapopata neno la unabii,Mungu hua na soln hapohapo.

Simjui huyo frank so siwez kusema lolote juu take,but ngoja nimfuatilie nitakwambia .
Ooh thank you very much!!Unabii wowote usiotumia hekima ni chaka.Unabii unajenga na sio kubomoa wala kuvuruga amani.
 
Binadamu tusipotaka kutumia akili zetu tulizopewa na mwenyezi Mungu vizuri kila siku tutakuwa tunaanzisha nyuzi za hawa 'manabii'. Hilo jina kama nimeshawahi kulisikia na najaribu kufuatilia kujua kama ndiyo huyo ninayemhisi au lah,kuna somebody Frank alishawahi kuhusishwa na cases kadhaa za utapeli hapa Dar na naambiwa siku hizi ni 'nabii' (niliwahi kusikia kuhusu utapeli wake radio one kipindi cha marafiki jumapili usiku mwaka jana).
 
Huyu nabii Frank anakuambia mambo yako yote kama umerogwa na mtu aliyekuroga yaani ana mtaja hadi jina,tarehe mwezi na mwaka,sehemu gani na jina la mganga na aliyempeleka mrogaji.

Nashindwa kuelewa yaani anakipaji cha aina yake

...haaa...haaa...haa..! Yeye hana 'ramli chonganishi' ! :yo:....ingekuwa Vizuri mkamtumia kutambua wanao dhulumu Albino.

Wagalatia mna drama kama akina Lowasa ! kamagetac
 
Last edited by a moderator:
Huyu jamaa simuelewi elewi! Anahubiri kibabe sana na vitisho vitisho vya kishirikina. Anasema anaponya magonjwa tote mpaka ukimwi.
Changa cheche:
1. Kwa wanaomjua, ile Huduma ya kuombea kwa kusukuma na vitisho kaagizwa na nani?
2. Wale walinzi wake anawalipa sh ngapi? Hivi wewe ni mtumishi wa Mungu, walinzi/mabodigadi wa nini? Yaani kila mahali mpaka kanisani mnaboa!

Manabii wengi Usiku hizi Huduma zenu hatuzielewi aisee.

Ukienda kwa Muislaam na kumuambia wewe ni Nabii, utapigwa tu.....maana hakuna jisi ni kupigwa tu ! :yo: christine ibrahim, Tabby, Ishmael, kalagabaho, Malyenge, Usoka.one, kamagetac


Kwa Waislaam hatuna shida ya kujua Manabii. Hawa hapa chini.

'Na tukamtunukia Ibrahim Is-haq na Yakuub. Kila mmoja tulimuongoa. Na Nuhu tulimuongoa kabla. Na katika kizazi chake tulimuongoa Daudi na Suleiman na Ayub na Yusuf na Musa na Harun. Na hivyo ndivyo tunavyo walipa wafanyao wema.

'Na Zakaria na Yahaya, na Yesu na Ilyas. Wote walikuwa miongoni mwa watu wema.

'Na Ismail na Al Yassa, na Yunus, na Lut'i. Na wote tulio wafadhilisha juu ya walimwengu wote.

'Na kutokana na baba zao, na vizazi vyao na ndugu zao. na tukawateuwa natukawaongoa kwenye njia iliyo nyooka (Uislaam)

'Hao ndio tulio wapa Vitabu na hukumu na Unabii.

Qur'an: 6:84-89.
 
huyu jamaa simuelewi elewi! Anahubiri kibabe sana na vitisho vitisho vya kishirikina. Anasema anaponya magonjwa tote mpaka ukimwi.
Changa cheche:
1. Kwa wanaomjua, ile huduma ya kuombea kwa kusukuma na vitisho kaagizwa na nani?
2. Wale walinzi wake anawalipa sh ngapi? Hivi wewe ni mtumishi wa mungu, walinzi/mabodigadi wa nini? Yaani kila mahali mpaka kanisani mnaboa!

Manabii wengi usiku hizi huduma zenu hatuzielewi aisee.
yupo mwingine arusha anajiita nabii mkuuu
tena ati yeye ni wa serikali ya mungu
laana hizi......
 
Kuna mgonjwa mmoja alimwombea eti asimame ktk jina la Yesu wapi ikabuma.......nadhani hawakuedit hiyo clip
 
Ukienda kwa Muislaam na kumuambia wewe ni Nabii, utapigwa tu.....maana hakuna jisi ni kupigwa tu ! :yo: christine ibrahim, Tabby, Ishmael, kalagabaho, Malyenge, Usoka.one, kamagetac


Kwa Waislaam hatuna shida ya kujua Manabii. Hawa hapa chini.

'Na tukamtunukia Ibrahim Is-haq na Yakuub. Kila mmoja tulimuongoa. Na Nuhu tulimuongoa kabla. Na katika kizazi chake tulimuongoa Daudi na Suleiman na Ayub na Yusuf na Musa na Harun. Na hivyo ndivyo tunavyo walipa wafanyao wema.

'Na Zakaria na Yahaya, na Yesu na Ilyas. Wote walikuwa miongoni mwa watu wema.

'Na Ismail na Al Yassa, na Yunus, na Lut'i. Na wote tulio wafadhilisha juu ya walimwengu wote.

'Na kutokana na baba zao, na vizazi vyao na ndugu zao. na tukawateuwa natukawaongoa kwenye njia iliyo nyooka (Uislaam)

'Hao ndio tulio wapa Vitabu na hukumu na Unabii.

Qur'an: 6:84-89.

Haya tuonyeshe wapi ilipi Injili ya Isa Bin Maryam, sina muda wa Quran maana Quran sio Injil na wala Quran sio Biblia [Mkusanyiko wa vitabu]


Huu nao ni msiba kwenu.
 
Loh!!!! huyu shetani sijui katumwa na nani, mahubiri yake hayatofautiani na lamri, nimchonganishi hadi basi, nimeona jana star tv anamwambia mama mmoja ambaye alimpeleka mwanae aombewe, kwa mwonekano mtoto anaonekana anautindio wa ubongo, yeye akasema mtoto alitolewa kafara na marehemu baba yake yaani nilichoka zaidi kajikanyaga hajamwombea kasema nitamweka kwenye maombi yangu lol..... kila aliyeenda kuombewa kwake amerogwa, kwa kweli serikali iliangalie hili swala la wahubiri wapiga ramli.

kaka yule jamaa moungo sana ..anajifanya kuongea kiingereza mara kiswahili....daah wajinga ndio waliwao.
 
Haya tuonyeshe wapi ilipi Injili ya Isa Bin Maryam, sina muda wa Quran maana Quran sio Injil na wala Quran sio Biblia [Mkusanyiko wa vitabu]


Huu nao ni msiba kwenu.

Wewe ni sikio la kufa, humo kwenye mkusanyiko wa Vitabu hamna Injil ya Yesu. Kuna ya Marko, Luka, Yohana na Mathayo
Soma Luka: 1:1
 
Wewe ni sikio la kufa, humo kwenye mkusanyiko wa Vitabu hamna Injil ya Yesu. Kuna ya Marko, Luka, Yohana na Mathayo
Soma Luka: 1:1
Haya tuonyeshe wapi ilipo Injili ya Isa Bin Maryam, sina muda wa Quran maana Quran sio Injil na wala Quran sio Biblia [Mkusanyiko wa vitabu]


Huu nao ni msiba kwenu.
 
Back
Top Bottom