Nabii Frank Kilawa unatutishia maisha!

Nabii Frank Kilawa unatutishia maisha!

PongLenis nachokuakikishia wala sio na kutisha kunyanyapaa watumishi wa mungu likikuacha wewe cjui hata familia yako ipo siku maandiko yatasimama juu yako hata watoto au wajukuu mwenzako kasema frank wewe tayari ushadakia ni yule wa kimara au
 
Yule jamaa ni msanii anatembea anahubiri na mabodigadi nyuma kama rais mbona yesu hakuwa na mabodgadi kama Yesu yupo ndani yake anaogopa nini?

Yesu hakuwa na bodigadi matokeo yake si umeyaona? Ametundikwa kwenye mti kama tumbili hakukua na wa kumtetea!..mwacheni jamaa ajilinde na mabodigadi asije kurudia kosa la bwana yesu
 
Yule jamaa ni msanii anatembea anahubiri na mabodigadi nyuma kama rais mbona yesu hakuwa na mabodgadi kama Yesu yupo ndani yake anaogopa nini?

Yesu alikuwa nao 12, na wote alienda nao kila mahali. Mmoja tu ndio alimgeuka kama Kagenzi, wenyewe wakimuita Yuda Iskariote
 
Huyu anadanganya watu anataka umaarufu wa kitoto anasema huduma za kichungaji zitakufa zibaki za kinabii.Hivi Mungu anaweka karama na kuziua mwenyewe!!?Huyu akili zake zinamtosha mwenyewe na walinzi wake wasiojua hata kupiga mguu sawa.
 
Huyu anadanganya watu anataka umaarufu wa kitoto anasema huduma za kichungaji zitakufa zibaki za kinabii.Hivi Mungu anaweka karama na kuziua mwenyewe!!?Huyu akili zake zinamtosha mwenyewe na walinzi wake wasiojua hata kupiga mguu sawa.

Kumbe kuna kampeni ya kuwapoteza wachungaji na sasa ni zama za manabii wasio na Vitabu !? Usoka.one
 
Last edited by a moderator:
Huyu nabii Frank anakuambia mambo yako yote kama umerogwa na mtu aliyekuroga yaani ana mtaja hadi jina,tarehe mwezi na mwaka,sehemu gani na jina la mganga na aliyempeleka mrogaji.

Nashindwa kuelewa yaani anakipaji cha aina yake
 
Huyu nabii Frank anakuambia mambo yako yote kama umerogwa na mtu aliyekuroga yaani ana mtaja hadi jina,tarehe mwezi na mwaka,sehemu gani na jina la mganga na aliyempeleka mrogaji.

Nashindwa kuelewa yaani anakipaji cha aina yake
Kwa nini hakutaja sinema ya wale magaidi pale Tanga.Hawa manabii nawashangaa hata mapepo ya utambuzi yana utambuzi wa hali ya juu sasa unashangaa nini.We ni mkristo gani ambaye roho mtakatifu hakuonyeshi mtu aliyekuloga.Na kwa nini ulogwe wakati damu ya yesu inakulinda.
 
Hawa manabii nani anawapa kazi ya kuchunga kanisa,Kazi ya kuchunga ni ya mchungaji.Nabii ni msemaji wa Mungu sasa inakuwaje kila siku anasemea sehemu moja,je wale wasiokuwa makanisani kwao watapaje ujumbe.Tatizo la wakristo wengi hawasoi biblia.Kwa hiyo wamekuwa kama shamba la bibi kila mtu anavuna atakavyo na bibi hana speed ya kumkimbiza
 
Kwa nini hakutaja sinema ya wale magaidi pale Tanga.Hawa manabii nawashangaa hata mapepo ya utambuzi yana utambuzi wa hali ya juu sasa unashangaa nini.We ni mkristo gani ambaye roho mtakatifu hakuonyeshi mtu aliyekuloga.Na kwa nini ulogwe wakati damu ya yesu inakulinda.
Labda wewe ndio haujui maana hata yesu mwenyewe alijaribiwa na shetanai mwenyewe na wala sio vichawi hivi,ije kuwa mimi binadamu!!!!

Katika red hapo mbona unajichanganya wewe ndio dizaini ya watu wanaopiga kelele kuwa roho mtakatifu kawatokea huku wakijua ni uongo

Sasa ulitegemea aseme nini wakati hata wewe tayari umeshasema ilikuwa sinema labda wenye mapepo ya utambuzi ndio wangesema kama lilivyokuwa kusudio lako
 
Wewe huoni yesu alikuwa anajua ni shetani.yaani wewe mpaka uambiwe na watu wa utambuzi!!
 
''makundi yote sabini na mbili yataingia motoni isipokuwa kundi moja tu ndio litakaloingia peponi'',
 
Ninaemshangaa c nabii bali aliye eenda kwa nabii mwongo pole zake na bado watawachukulia mpk wake zenu kwa gier ya unabii
 
Huyu anadanganya watu anataka umaarufu wa kitoto anasema huduma za kichungaji zitakufa zibaki za kinabii.Hivi Mungu anaweka karama na kuziua mwenyewe!!?Huyu akili zake zinamtosha mwenyewe na walinzi wake wasiojua hata kupiga mguu sawa.

Anaonyeshwa lini hiko kipindi chake!!
Nimfuatilie!!
 
Huyu nabii Frank anakuambia mambo yako yote kama umerogwa na mtu aliyekuroga yaani ana mtaja hadi jina,tarehe mwezi na mwaka,sehemu gani na jina la mganga na aliyempeleka mrogaji.

Nashindwa kuelewa yaani anakipaji cha aina yake

Ngoja nikusaidie kitu ndugu Yangu
Hata shetani anaweza vzr kufanya hiyo kazi,ndo wale waganga wenye pepo la utambuzi!!anakwambia kila kitu mpaka future yako!
So hiyo isikufanye uamini ni mtumishi wa Mungu!

Sasa ili kutofautisha lazima uwe na roho wa Mungu unless utachanganywa!!!

Sasa ngoja nikupe mwanga kidogo, mtumishi yyt wa kweli wa Mungu hawezi kukwambia umerogwa na Fulani ht km ni kweli,roho mtakatifu ana hekima! Unless yawe mapepo yamelipuka ndo huwa yanaongea mambo mengi, bt mtumushi ni kukuombea Mungu akufungue ht km umerogwa kweli.
Pia unapopata neno la unabii,Mungu hua na soln hapohapo.

Simjui huyo frank so siwez kusema lolote juu take,but ngoja nimfuatilie nitakwambia .
 
Back
Top Bottom