Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,427
- 10,749
Huyu jamaa simuelewi elewi! Anahubiri kibabe sana na vitisho vitisho vya kishirikina. Anasema anaponya magonjwa tote mpaka ukimwi.
Changa cheche:
1. Kwa wanaomjua, ile Huduma ya kuombea kwa kusukuma na vitisho kaagizwa na nani?
2. Wale walinzi wake anawalipa sh ngapi? Hivi wewe ni mtumishi wa Mungu, walinzi/mabodigadi wa nini? Yaani kila mahali mpaka kanisani mnaboa!
Manabii wengi Usiku hizi Huduma zenu hatuzielewi aisee.
Changa cheche:
1. Kwa wanaomjua, ile Huduma ya kuombea kwa kusukuma na vitisho kaagizwa na nani?
2. Wale walinzi wake anawalipa sh ngapi? Hivi wewe ni mtumishi wa Mungu, walinzi/mabodigadi wa nini? Yaani kila mahali mpaka kanisani mnaboa!
Manabii wengi Usiku hizi Huduma zenu hatuzielewi aisee.