Mabilioni ujerumani? Uswiss au ulimuwekea. Zitto ni genious ni mwanasiasa hodari, anakubarika kama wew hujamuelewa hutakuja kamwe kumuelewa
Haina haja ya kubishana na hao watu.
Tunaomuelewa zito ni wengi tu hivyo haina haja ya kubishana na hako ka tabaka ka watu wachache na wafuasi wao wa ukanda flani flani.
Bado tumesimama imara na zito(jeshi la mtu mmoja)
Kwa nini watetezi na mashabiki wake muwe pia mashabiki wa CCM?Jiwe la pembeni lilikataliwa na waashi
CCM mnamkubali Zitto?Wazalendo wa Kitanzania tunamkubali sana Zitto Kabwe! Akina Mbowe na wafuasi wake ndio wanampiga vita!
mke wa mtu kifumaniwa akiwa anavunja amri pamoja na Kiongozi wa dini kuwasafisha ni vigumu mno!Jiwe la pembeni lilikataliwa na waashi
Kwa nini watetezi na mashabiki wake muwe pia mashabiki wa CCM?
Kwa nini watetezi na mashabiki wake muwe pia mashabiki wa CCM?
Kama hauko CCM basi hujui Vita unayopigana... Msome kitila hapa!..una uhakika ndugu mimi ni CCM, je kuna ubaya nikiwa CCM? Au kuna ubaya kumkubali zitto? hivi hauwezi ukawa mchapa kazi bora kazini alafu ukafumaniwa na mkeo ukiwa na kimada? je tusikusifie kwa uchapaji kazi wako ambao ni obviuos kwa sababu uliwahi kukutwa na kosa la kushikwa ugoni? kukosea ni sehemu ya binadamu. tusikusifie au kumkubali kwa sababu tu amegombana na viongozi wenzake, ni two unrelated events. au unaonaje great thinker?
Ni maoni yetu pia kwamba kuanzia sasa MM aenende katika mwenendo ambao utarahisisha ushindi. Mfano tunapendekeza afanye yafuatayo kuanzia sasa:
i. Apunguze ukaribu na viongozi wa serikali na wa chama tawala na awe crical zaidi na utendaji wa serikali nje na ndani ya bunge.
Kama hauko CCM basi hujui Vita unayopigana... Msome kitila hapa!..
Wewe hujui unachokipigania... undani wa yote haya tunaujua!.. Soma dondoo za usaliti wa zito:kumkubali mwanasiasa sio lazima uwe mwanachama, narudia ni two independent events.ungejadili hoja ingekuwa bora zaidi, je anastahiki hiyo nafasi? je kuna faida yeyote kama taifa? CCM wapo tu siku zote, walimkubali zitto wengine ni mapenzi tu, wengine hawampendi, wengine ni siasa kwamba adui wa mwezako ni rafiki yako, mbona simple tu
Uhusiano usio wa kawaida na wa karibu wa Zitto na viongozi wa ccm, serikali na wale wa Usalama wa Taifa uliendelea kushamiri hasa kipindi cha kampeni na kipindi cha uchaguzi mkuu wa 2010, Mfano tarehe 7/9/2010 siku ya jumanne saa 11:21 asubuhi, A...d M..ngi kupitia namba yake ya simu ya kiganjani ........ alimpigia Zitto kupitia simu ya kiganjani namba ........... waliongea mambo mengi japo kwa muda mfupi, na jambo kubwa lilikuwa ni "vipi kuna kipya ndani ya Chadema?" Zitto alijibu "yapo mengi lakini hayana impact kwa ccm" M..ngi anajibu "Ok Mr Nikutakie siku njema"
Mimi nimefanya kazi chini yake na kuwa kwenye timu yake mpaka 2013... Unapigania usichokijua wewe!...ndugu yangu dont be caried away too easly! hawa ni wanasiasa ndugu yangu, yote hayo ni michezo yao ya kugombania madaraka na ndio nature yao. marafiki mwanasiasa hachaguliwi!
Kwa nini magamba hawa wanamfagilia sana Zitto?