Nabii asiekubalika nyumbani

Nabii asiekubalika nyumbani

Mabilioni ujerumani? Uswiss au ulimuwekea. Zitto ni genious ni mwanasiasa hodari, anakubarika kama wew hujamuelewa hutakuja kamwe kumuelewa

Haina haja ya kubishana na hao watu.
Tunaomuelewa zito ni wengi tu hivyo haina haja ya kubishana na hako ka tabaka ka watu wachache na wafuasi wao wa ukanda flani flani.
Bado tumesimama imara na zito(jeshi la mtu mmoja)
 
Haina haja ya kubishana na hao watu.
Tunaomuelewa zito ni wengi tu hivyo haina haja ya kubishana na hako ka tabaka ka watu wachache na wafuasi wao wa ukanda flani flani.
Bado tumesimama imara na zito(jeshi la mtu mmoja)

Jiwe la pembeni lilikataliwa na waashi
Kwa nini watetezi na mashabiki wake muwe pia mashabiki wa CCM?
 
Zitto ana Id 10 anacheza na akili za watu , nenda Zitto chadema tulikupenda sana lakini ccm imekupenda zaidi, ungana na wanafiki wenzio mwendeleze kuwanyonga wanyonge.
 
Kwa nini watetezi na mashabiki wake muwe pia mashabiki wa CCM?

una uhakika ndugu mimi ni CCM, je kuna ubaya nikiwa CCM? Au kuna ubaya kumkubali zitto? hivi hauwezi ukawa mchapa kazi bora kazini alafu ukafumaniwa na mkeo ukiwa na kimada? je tusikusifie kwa uchapaji kazi wako ambao ni obviuos kwa sababu uliwahi kukutwa na kosa la kushikwa ugoni? kukosea ni sehemu ya binadamu. tusimusifie au kumkubali kwa sababu tu amegombana na viongozi wenzake, ni two independent events. au unaonaje great thinker?
 
Kwa nini watetezi na mashabiki wake muwe pia mashabiki wa CCM?

kumkubali mwanasiasa sio lazima uwe mwanachama, narudia ni two independent events.ungejadili hoja ingekuwa bora zaidi, je anastahiki hiyo nafasi? je kuna faida yeyote kama taifa? CCM wapo tu siku zote, walimkubali zitto wengine ni mapenzi tu, wengine hawampendi, wengine ni siasa kwamba adui wa mwezako ni rafiki yako, mbona simple tu
 
una uhakika ndugu mimi ni CCM, je kuna ubaya nikiwa CCM? Au kuna ubaya kumkubali zitto? hivi hauwezi ukawa mchapa kazi bora kazini alafu ukafumaniwa na mkeo ukiwa na kimada? je tusikusifie kwa uchapaji kazi wako ambao ni obviuos kwa sababu uliwahi kukutwa na kosa la kushikwa ugoni? kukosea ni sehemu ya binadamu. tusikusifie au kumkubali kwa sababu tu amegombana na viongozi wenzake, ni two unrelated events. au unaonaje great thinker?
Kama hauko CCM basi hujui Vita unayopigana... Msome kitila hapa!..

Ni maoni yetu pia kwamba kuanzia sasa MM aenende katika mwenendo ambao utarahisisha ushindi. Mfano tunapendekeza afanye yafuatayo kuanzia sasa:
i. Apunguze ukaribu na viongozi wa serikali na wa chama tawala na awe crical zaidi na utendaji wa serikali nje na ndani ya bunge.
 
Kama hauko CCM basi hujui Vita unayopigana... Msome kitila hapa!..

hivi kumsifia zitto nimeinga vitani tena? kwa wanasiasa siku zote wapo vitani ndio game ilivyo na ndugu yangu dont be carried away too easly! hawa ni wanasiasa ndugu yangu, yote hayo ni michezo yao ya kugombania madaraka na ndio nature yao. marafiki mwanasiasa hachaguliwi! then sio kila unalosikia au unalloliona kwenye siasa ndio lilivyo.. hivi mboe hana ukaribu na watu serikalini? hivi slaa hana ukaribu na watu serikali au unanimbia alivohama chama na akafuta na urafiki hapo hapo? hivi ukifukuzwa kazi unavunja urafiki na mates wako? ni kweli zitto alikuwa anataka madaraka na hilo ndio kosa lake sasa wewe ulitegemea nini hapo huku wenzake hawamtaki, he was more or less like a virus.
 
kumkubali mwanasiasa sio lazima uwe mwanachama, narudia ni two independent events.ungejadili hoja ingekuwa bora zaidi, je anastahiki hiyo nafasi? je kuna faida yeyote kama taifa? CCM wapo tu siku zote, walimkubali zitto wengine ni mapenzi tu, wengine hawampendi, wengine ni siasa kwamba adui wa mwezako ni rafiki yako, mbona simple tu
Wewe hujui unachokipigania... undani wa yote haya tunaujua!.. Soma dondoo za usaliti wa zito:

Uhusiano usio wa kawaida na wa karibu wa Zitto na viongozi wa ccm, serikali na wale wa Usalama wa Taifa uliendelea kushamiri hasa kipindi cha kampeni na kipindi cha uchaguzi mkuu wa 2010, Mfano tarehe 7/9/2010 siku ya jumanne saa 11:21 asubuhi, A...d M..ngi kupitia namba yake ya simu ya kiganjani ........ alimpigia Zitto kupitia simu ya kiganjani namba ........... waliongea mambo mengi japo kwa muda mfupi, na jambo kubwa lilikuwa ni "vipi kuna kipya ndani ya Chadema?" Zitto alijibu "yapo mengi lakini hayana impact kwa ccm" M..ngi anajibu "Ok Mr Nikutakie siku njema"
 
ndugu yangu dont be caried away too easly! hawa ni wanasiasa ndugu yangu, yote hayo ni michezo yao ya kugombania madaraka na ndio nature yao. marafiki mwanasiasa hachaguliwi!
Mimi nimefanya kazi chini yake na kuwa kwenye timu yake mpaka 2013... Unapigania usichokijua wewe!...
 
Wanaoelewa wamekimbia wewe mngony kwa umbumbumbu wako umekazana kumtetea MSALITI!...

haya ndugu, nashkuru ila sasa umeanza na kunitukana kabisa!.. haya usiku mwema great thinker inawezekana kweli nimejiingiza vitani tena vita nisiyoijua.. usiku mwema
 
haya ndugu, nashkuru ila sasa umeanza na kunitukana kabisa!.. haya usiku mwema great thinker inawezekana kweli nimejiingiza vitani tena vita nisiyoijua.. usiku mwema

Achana nae hawa ndo mazezeta wenyew usibishane na matahira
 
Kwa nini magamba hawa wanamfagilia sana Zitto?

Ana hakiri, mpambanaji, anajua anachokifanya, mtetezi wa wanyonge, hapendi kuonewa, Zitto huwezi kumfananisha na Mbowe au babu slaa!
 
Always the truth will stand no matter what you can fight throwing words to each other but you know the truth
 
Back
Top Bottom