arola54
JF-Expert Member
- Jan 23, 2014
- 664
- 142
Mabilioni ujerumani? Uswiss au ulimuwekea. Zitto ni genious ni mwanasiasa hodari, anakubarika kama wew hujamuelewa hutakuja kamwe kumuelewa
Haina haja ya kubishana na hao watu.
Tunaomuelewa zito ni wengi tu hivyo haina haja ya kubishana na hako ka tabaka ka watu wachache na wafuasi wao wa ukanda flani flani.
Bado tumesimama imara na zito(jeshi la mtu mmoja)