Nabadilishana DSTV decoder kwa mwenye Azam decoder ya dish

Nabadilishana DSTV decoder kwa mwenye Azam decoder ya dish

Nakushauri nunua tu cha Azam ili uwe navyo vyote.

Mimi nililazimika kununua vyote viwili baada ya kuona muda ambao nataka kucheki Mpira, familia nayo inataka kuangalia Tamithilia.
Ndio tuseme huko Azam hakuna Tamthilia nzuri?
 
Ndio na Tv nazo ziko 2. Imenisaidia nikitaka kucheki ligi ya Bongo naenda Azam, nikitaka EPL nahamia Dstv.

Hii inategemea na Hobby yako ipo kwenye kuangalia nini. Pia uwezo wako wa kulipia hivyo ving'amuzi.
Vinginevyo awe na cha Azam tu
 
azam inauzwa bei gani kwa sasa
Ndio na Tv nazo ziko 2. Imenisaidia nikitaka kucheki ligi ya Bongo naenda Azam, nikitaka EPL nahamia Dstv.

Hii inategemea na Hobby yako ipo kwenye kuangalia nini. Pia uwezo wako wa kulipia hivyo ving'amuzi.
Vinginevyo awe na cha Azam tu
 
Ndio tuseme huko Azam hakuna Tamthilia nzuri?
Azam wanazo Tamithilia nzuri, pia Dstv kuna Tamithilia nzuri.

Nimesema sikuwa nafanana Hobby na mke. Wakati mimi nataka kucheki mpira yeye muda huo nae anataka kuangalia Tamithilia.
 
azam inauzwa bei gani kwa sasa
Nazani kwa sasa ni 105,000 + Fundi wa kukufungia 30,000. Pia Unapata ofa ya kifurushi cha bure Azam plus kwa miezi mitatu.

Unaweza kwenda Kule Sabasaba kwa sasa kuna bei ya ofa.
 
Yani ubadilishane DStv KWA azam?
Huyo mtu anayetaka DStv umtoe wap?
 
Nazani kwa sasa ni 105,000 + Fundi wa kukufungia 30,000. Pia Unapata ofa ya kifurushi cha bure Azam plus kwa miezi mitatu.

Unaweza kwenda Kule Sabasaba kwa sasa kuna bei ya ofa.
Kisimbuz cha azam cha dish sahv kinauzwa 220,000Tsh unapata na ofa ya miez mi3
 
Kisimbuz cha azam cha dish sahv kinauzwa 220,000Tsh unapata na ofa ya miez mi3
Kwa sasa kinauzwa 210,000/= Ila Bei ya 135,000 niliikuta kwenye maonyesho ya sabasaba -Dar. Pengine ilikuwa ni ya ofa
 
Back
Top Bottom