Naapa kujiua

Naapa kujiua

Status
Not open for further replies.

Tariq f

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2021
Posts
233
Reaction score
347
Kama utahisi masihara basi we hisi hivyo, ila me ndo nimeamua hivyo,

Nimefaulu vizuri ila shule nimeshindwa kwenda kwa hali ngumu, napambana na maisha lakini mwangaza siuoni, sina mbele wala nyuma, wachawi kila siku wananiwinda ili kunirudisha nyuma

Mama yangu ananipenda ila hana maisha na ana hali ngumu huku akinitegemea pamoja na mdogo wangu,

Baba yangu hana msaada na mimi na pia hana chochote, kiukweli nahisi nilizaliwa KIMAKOSA TU

sioni haja ya kuishi
 
Kama utahisi masihara basi we hisi hivyo, ila me ndo nimeamua hivyo,

Nimefaulu vizuri ila shule nimeshindwa kwenda kwa hali ngumu, napambana na maisha lakini mwangaza siuoni, sina mbele wala nyuma, wachawi kila siku wananiwinda ili kunirudisha nyuma

Mama yangu ananipenda ila hana maisha na ana hali ngumu huku akinitegemea pamoja na mdogo wangu,

Baba yangu hana msaada na mimi na pia hana chochote, kiukweli nahisi nilizaliwa KIMAKOSA TU

sioni haja ya kuishi
Uzi tyr
 
Hayo ndio maisha ni kupambana hadi kieleweke maisha sio lelemama.

Unafikirinmama yako angekata tamaa ungekua kufikia hapo anzia hapo mama alipofikia bila kurudi nyuma hakikisha unabadilisha maisha ya home kwenu ije mvua lije jua.

No retreat no surrender.
 
Usijiue,
tambua kwamba kwenye hii dunia hakuna kinachoganda yaan kila kitu huwa kina pita hata hzo hisia ulizo nazo sasa zitapta n suala la muda tu.

Kama ulivyosema wachaw wana kuandama bas tambua wanataka ujiue ili wakakutumikishe.

Mshirikishe Muumba wako akupe aman ya moyo wako kila kitu kitakuwa sawa.
 
Sasa huoni kama unamkosea MAMA yako, unajua ni mateso gani kupitia hadi kufikia hapo ulipo.

Unajua kapataje pesa hadi ukaweza angalau kusoma na kufaulu?

Nani kakuambia ili ufanikiwe 100% unahitaji uwe na elimu?

Na hivi unajua kuwa hakuna mafanikio ya 100%?

Na ndio maana hata tajiri bado anaendelea kutafuta.

Kujiua ni matokeo ya uoga wa maisha
 
1. Umefaulu level gani ya elimu na unataka kuendelea hadi level gani?
2. Unadhani ukijiua utakuwa umemaliza matatizo yako? I mean wewe kujiua na hali ngumu ya wazazi wako suluhu itapatikana kwa njia hiyo?
3. Kwamba wewe tu ndio una matatizo makubwa hapa duniani, majirani na ndugu zako wengine wanaishi raha mstarehe?

Kujiua ni kushindwa kuitawala akili yako, ni kusema wewe hapa duniani ulikuja kimakosa na hukustahili.

Kaa chini upambane, maisha sio kitu rahisi hata siku moja, hata wale unaowaona wamependeza wanaendesha ndinga kali, nyumba nzuri, wana changamoto nyingi mno katika maisha yao.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom