Naanzisha redio na tv ya wapinzani

rosemarie

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
6,887
3,412
Jamani nataka kuanzisha redio na television maalum kwa wapenda mabadiliko,na wapinzani,naombeni anayejua prosses naanzia wapi na kuishia wapi,nataka vibali na mihela nifanye nini mie mbona nimechoka na haya maisha,sitajinyonga mpaka nione mabadiliko
 
ni bora uanzishe kwanza halafu ndio uwakaribishe wapinzani lakini ukitangaza kabla ujaanzisha utakutana na vikwazo vingi njiani.
 
Back
Top Bottom