rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Jamani nataka kuanzisha redio na television maalum kwa wapenda mabadiliko,na wapinzani,naombeni anayejua prosses naanzia wapi na kuishia wapi,nataka vibali na mihela nifanye nini mie mbona nimechoka na haya maisha,sitajinyonga mpaka nione mabadiliko