Naomba support yenu!
Let's be true patriots!
Tunajua mengi sana kuhusu nchi hii, tumediscuss topic nyingi sana kuhusiana na maendeleo ya nchi yetu.
Wito kwa wanaJF wenzangu: naomba tuanze kuisambaza hii knowledge tuliyonayo kwa watu wa mitaani. Tuwaelezee yale yanayoendelea ndani ya nchi yetu. Walau wapate elimu ya kweli ya uraia ili waweze kupiga kura kwa usahihi. Hapa JF ni chanzo kizuri sana cha habari kuhusu nchi yetu.
Kama tutaweza kuwaelimisha walau vijana wawili au watu kwa wiki kuhusiana na siasa za nchi, naamini tutakuwa tunapiga hatua towards ukombozi wa nchi hii! Hatustahili kuwa omba omba mpaka sasa, tunahitaji mabadiliko ya kweli!
Tuache kulalamika, tuache kuwa na negativity. Let's talk politics everywhere for the betterment of this country, let's be part of the change we are waiting for. Hamna atakae tuletea mabadiliko zaidi ya sisi wenyewe.
Tuongelee jinsi gani siasa inaadhiri maisha ya mwananchi wa kawaida, jinsi gani ufisadi ulivyo na athari kwa nchi, jinsi gani uongozi mbovu unavyoweza kuwa tatizo kwa maendeleo ya nchi yetu.
Tukiweza kufanya haya tutakuwa tunaplay part kubwa sana kwa ukombozi wa taifa letu!
Let's make a move, let's bring change that everyone is waiting for!
Opinions are invitited jinsi gani tunaweza kuufikisha huu ujumbe mtaani/ofisini/kwenye mihadhara/vyuoni/everywhere we can!
By the way me nimeshaanza, kila Jmosi huwa naenda kijiweni kucheza draft na topic nnazo zianzisha ni siasa tu. Kwa wale waliosoma Economics, hii kitu lazma inakuwa na multiplier effect! Ukimuelezea kwa ufasaha kijana mmoja jua vijana zaidi ya kumi wamepokea huo ujumbe. I believe we can, let's make our right move!
God bless our country!
Let's be true patriots!
Tunajua mengi sana kuhusu nchi hii, tumediscuss topic nyingi sana kuhusiana na maendeleo ya nchi yetu.
Wito kwa wanaJF wenzangu: naomba tuanze kuisambaza hii knowledge tuliyonayo kwa watu wa mitaani. Tuwaelezee yale yanayoendelea ndani ya nchi yetu. Walau wapate elimu ya kweli ya uraia ili waweze kupiga kura kwa usahihi. Hapa JF ni chanzo kizuri sana cha habari kuhusu nchi yetu.
Kama tutaweza kuwaelimisha walau vijana wawili au watu kwa wiki kuhusiana na siasa za nchi, naamini tutakuwa tunapiga hatua towards ukombozi wa nchi hii! Hatustahili kuwa omba omba mpaka sasa, tunahitaji mabadiliko ya kweli!
Tuache kulalamika, tuache kuwa na negativity. Let's talk politics everywhere for the betterment of this country, let's be part of the change we are waiting for. Hamna atakae tuletea mabadiliko zaidi ya sisi wenyewe.
Tuongelee jinsi gani siasa inaadhiri maisha ya mwananchi wa kawaida, jinsi gani ufisadi ulivyo na athari kwa nchi, jinsi gani uongozi mbovu unavyoweza kuwa tatizo kwa maendeleo ya nchi yetu.
Tukiweza kufanya haya tutakuwa tunaplay part kubwa sana kwa ukombozi wa taifa letu!
Let's make a move, let's bring change that everyone is waiting for!
Opinions are invitited jinsi gani tunaweza kuufikisha huu ujumbe mtaani/ofisini/kwenye mihadhara/vyuoni/everywhere we can!
By the way me nimeshaanza, kila Jmosi huwa naenda kijiweni kucheza draft na topic nnazo zianzisha ni siasa tu. Kwa wale waliosoma Economics, hii kitu lazma inakuwa na multiplier effect! Ukimuelezea kwa ufasaha kijana mmoja jua vijana zaidi ya kumi wamepokea huo ujumbe. I believe we can, let's make our right move!
God bless our country!