Bila kusahau SIX akiwa Pemba, huenda mleta uzi huwa anaangalia TV kwa style ya remote mkononi huku akihama hama pia akiangalia heading tu anafanya conclusion
UKIkaidi;
Weye wasema utapigwa2 miye nasema utampenda tu. CCM hamna mtu mwingine mtakayemleta kwetu bali Lowassa tu. Wote ni wachafu, basi mtamleta mwenye uwezo hata wa kuwalainisha watu kwa vijisenti vyake.
EL rais mtarajiwa. Usiichukie ITV bureee kwa visingizio hafifu ka hivi vyako ati hujakurupuka, ungekuwa umetulia sijui ungeandika nini ka hivi si kukurupuka.
Dah! Hali ngumu kweli maccm, mkiandikwa kosa, mkiacha kuandikwa kosa, yaani Tbccm haiwatoshi hadi mwaitaka na hii ya watu binafsi. Poleni, kipindi cha mtu kujitangaza yeye tu kimepitwa.
mzee wa ukanda, ebu tuambie sasa iv ni zamu ya kanda ipi? bila shaka ww ni team membe(i guess) zamu ya kusini ilishapita awamu ya 3. pwani awamu ya nne, kwa hyo sasa iv ni zamu ya kati(nyalandu na mwigulu) au magharibi (sitta na kigwangala) mawazo ya kibaguzi nayachukia sana na haya hufanywa na watu walio nyuma kielimu na kifikra