Nikilewa mniache
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 19,274
- 51,847
Ipo wazi kama nyeti za mbuzi
Janabi alitrend baada ya jpm kufa rejea maelezo ya cdf Kuna utata juu ya kifo cha raisi wetuMi namini hilo pia, na sio tu waliharakisha mauti yake, walihakikusha wanamsindikiza mpaka alipoingia uko kuzimu.
Na wakarudi kwa kujipongeza, na kututengenezea drama tulizoziona.
Niliona jibsi Janabi alivyokuwa akinadiwa na JK ili awe mkurugenzi wa WHO kanda ya Afrika nilishangaa kwanini na kama nchi tunafaidikaje na huo ukurugenzi wake huko?
Dr.Ngugulile aliupata na kabla hajaanza kazi mauti yakabisha hodi, alipofungua mlango yakamchukua.
Maana tulitumia pesa nyingi sana na ndege zetu kuzunguka Afrika nzima ikulu zote ili tu kumpigia chapuo yeye, sikupata jibu lakini sasa tunaona mwanga.
Na hatuna cha kufanya na tutaendelea kulalamika mitandaoni mpaka tuchoke, kama wasemavyo wanamtandao.
Anyway, alusema wachawi wote waliishakufa