Naanza kuamini yale niliyoyahisi mwaka 2021!

Naanza kuamini yale niliyoyahisi mwaka 2021!

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,063
Reaction score
136,407
Baada ya Rais Magufuli kufariki dunia ile mwaka 2021, kuna uzi niliuanzisha nikihoji kifo chake.

Uzi wenyewe ni huu hapa:


Nilihoji kwa kutumia hisia tu maana sikuwa na ushahidi wowote ule.

Ila sasa nimeanza kuipata picha jinsi ilivyo baada ya hiyo iliyoitwa ‘harambee’ ya michango ya pesa za kampeni za CCM.

Wale wanaohisiwa au kudhaniwa kuwa ndo mafisadi wamerudishwa tena kwenye kundi na sasa wapo ndani kabisa katikati ya CCM na serikali yao.

Hawa watu enzi za Magufuli, kwa kiasi kikubwa walitengwa.

Hatukuwaona wakiwa wanajiachia kwa tabasamu na bashasha tele kama ilivyo hivi sasa.

Mazingira kama haya ndo yanazidi kuupa ushahidi ule wasiwasi wangu kwamba huenda kweli Rais Magufuli mauti yake yaliharakishwa na baadhi ya watu.
 
Baada ya Rais Magufuli kufariki dunia ile mwaka 2021, kuna uzi niliuanzisha nikihoji kifo chake.

Uzi wenyewe ni huu hapa:


Nilihoji kwa kutumia hisia tu maana sikuwa na ushahidi wowote ule.

Ila sasa nimeanza kuipata picha jinsi ilivyo baada ya hiyo iliyoitwa ‘harambee’ ya michango ya pesa za kampeni za CCM.

Wale wanaohisiwa au kudhaniwa kuwa ndo mafisadi wamerudishwa tena kwenye kundi na sasa wapo ndani kabisa katikati ya CCM na serikali yao.

Hawa watu enzi za Magufuli, kwa kiasi kikubwa walitengwa.

Hatukuwaona wakiwa wanajiachia kwa tabasamu na bashasha tele kama ilivyo hivi sasa.

Mazingira kama haya ndo yanazidi kuupa ushahidi ule wasiwasi wangu kwamba huenda kweli Rais Magufuli mauti yake yaliharakishwa na baadhi ya watu.
Jua hivyo
 
Baada ya Rais Magufuli kufariki dunia ile mwaka 2021, kuna uzi niliuanzisha nikihoji kifo chake.

Uzi wenyewe ni huu hapa:


Nilihoji kwa kutumia hisia tu maana sikuwa na ushahidi wowote ule.

Ila sasa nimeanza kuipata picha jinsi ilivyo baada ya hiyo iliyoitwa ‘harambee’ ya michango ya pesa za kampeni za CCM.

Wale wanaohisiwa au kudhaniwa kuwa ndo mafisadi wamerudishwa tena kwenye kundi na sasa wapo ndani kabisa katikati ya CCM na serikali yao.

Hawa watu enzi za Magufuli, kwa kiasi kikubwa walitengwa.

Hatukuwaona wakiwa wanajiachia kwa tabasamu na bashasha tele kama ilivyo hivi sasa.

Mazingira kama haya ndo yanazidi kuupa ushahidi ule wasiwasi wangu kwamba huenda kweli Rais Magufuli mauti yake yaliharakishwa na baadhi ya watu.
..si yeye tu, walianza na Mahiga na wote waliofuatia..
 
Mi namini hilo pia, na sio tu waliharakisha mauti yake, walihakikusha wanamsindikiza mpaka alipoingia uko kuzimu.

Na wakarudi kwa kujipongeza, na kututengenezea drama tulizoziona.

Niliona jibsi Janabi alivyokuwa akinadiwa na JK ili awe mkurugenzi wa WHO kanda ya Afrika nilishangaa kwanini na kama nchi tunafaidikaje na huo ukurugenzi wake huko?

Dr.Ngugulile aliupata na kabla hajaanza kazi mauti yakabisha hodi, alipofungua mlango yakamchukua.

Maana tulitumia pesa nyingi sana na ndege zetu kuzunguka Afrika nzima ikulu zote ili tu kumpigia chapuo yeye, sikupata jibu lakini sasa tunaona mwanga.

Na hatuna cha kufanya na tutaendelea kulalamika mitandaoni mpaka tuchoke, kama wasemavyo wanamtandao.

Anyway, alusema wachawi wote waliishakufa.
 
1755179095257.png
 
Baada ya Rais Magufuli kufariki dunia ile mwaka 2021, kuna uzi niliuanzisha nikihoji kifo chake.

Uzi wenyewe ni huu hapa:


Nilihoji kwa kutumia hisia tu maana sikuwa na ushahidi wowote ule.

Ila sasa nimeanza kuipata picha jinsi ilivyo baada ya hiyo iliyoitwa ‘harambee’ ya michango ya pesa za kampeni za CCM.

Wale wanaohisiwa au kudhaniwa kuwa ndo mafisadi wamerudishwa tena kwenye kundi na sasa wapo ndani kabisa katikati ya CCM na serikali yao.

Hawa watu enzi za Magufuli, kwa kiasi kikubwa walitengwa.

Hatukuwaona wakiwa wanajiachia kwa taba
Post thread
samu na bashasha tele kama ilivyo hivi sasa.

Mazingira kama haya ndo yanazidi kuupa ushahidi ule wasiwasi wangu kwamba huenda kweli Rais Magufuli mauti yake yaliharakishwa na baadhi ya watu.
Na walikula na kunywa na kwenda kufanya dhihaka Chato
 
Jiwe alikuwa ana move kama mtu anayetaka kuongoza zaidi ya miaka 10, ingawa yeye mwenye alikuwa anasema hatoongeza hapo. Hapa ndiyo Mbogamboga A na B wakawa wanapaluana

Inawezekana walimwaisha pia. Hivi jamaa ni kweli alikuwa na pacemaker?

Ujue hivi vitu viko deep sana, unaweza kuta hata wale jamaa wa KIBITI walikuwa funded na wazee wa jiji kutingisha uongozi tu kwa kuwa harakati zao haziendi.

Mjini mambo mengi sana, sasa kama una wenzetu wanauza silaha kwa cartel kama Jalisco/CJNG unadhani nini kinashindikana hapa???

Mjini mambo mengi mkuu.
 
Back
Top Bottom