"Naamshwa saa 9 ya usiku kufanya tendo la ndoa"

Wengine huwa wanapenda mida hiyo, mimi mke wangu anasema hapendi ile jioni, kwa hiyo mpaka alfajiri na mimi si mbishi nafuata anavyosema.
Ingawa anatatizo moja hata siku mmoja hajawahi kuanzisha toka tuwe wachumba mpka ndoa sasa.
Mwanzoni nilikuwa napendelea jioni baada ya misosi tu mnaoga na mambo mengine yanafuata. Lakini nikaona mwenzangu hacorparate, wakati nikimshikashika alikuwa akichukua dk 5 kulainika kunako K sasa nikanza siku nyingine natumia dk 30 na unakuta bado huwa namwuuliza kama hataki namwacha.
Kwa hiyo nimegundua sababu nyingine unakuta wanawake wenyewe hawacorparate mwisho wa siku na maziwa haja aondoke.
Tukumbuke mwanamke asipocorparate hata mwanaume hafurahii zaidi ya kumwaga na kupumzika.
Kama wanawake wote kwenye ndoa wanafanya hivi, basi ndiyo maana wanaume wanatoka nje ya ndoa. Ni embalasing sana.


hapo red, unamaanisha nini mkuu.


halafu Boflo kama wewe mwanaume, saluni za kike ulifata nini?
 
muda wowote sawa, lakini iwe convenient kwa wote!

Mi nimerudi nimechoka toka kazini natakiwa nipumnzike ili nikukune sawa sawa sasa muda ambao nashtuka ndo huo saa9 ndo muda muafaka wa mm kula chakula cha usiku unatakiwa na wewe ujizoeeshe ikifika mida hiyo unakuwa standby kutoa mzigo.
 
Mkiachwa taabu.....mkipewa taabu.....usiku shida....mchana jua kali

"The strongest will survive and the weakest will perish"........................kazi ni kwako
 
Naona tatizo jamaa hali tiGo ndo maana analalamika raha ya tiGo iliwe usiku wa manane babu wee
 
tehe tehe.....ama kweli nyani haoni kundule, angalia wewe sasa avatar yako unatangaza biashara yako

Ulienda saloon kupaka wanja au kufanyiwa stiming? hivi magomeni hakulipi mpaka umeamua kwenda sinza kwa masharo?
 
kwa hizo posts hapo juu Boflo nakukana na nakukataza kutumia neno wanaume wenzangu!wewe upo kundi la peke yako!
 
Back
Top Bottom