Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
Wengine huwa wanapenda mida hiyo, mimi mke wangu anasema hapendi ile jioni, kwa hiyo mpaka alfajiri na mimi si mbishi nafuata anavyosema.
Ingawa anatatizo moja hata siku mmoja hajawahi kuanzisha toka tuwe wachumba mpka ndoa sasa.
Mwanzoni nilikuwa napendelea jioni baada ya misosi tu mnaoga na mambo mengine yanafuata. Lakini nikaona mwenzangu hacorparate, wakati nikimshikashika alikuwa akichukua dk 5 kulainika kunako K sasa nikanza siku nyingine natumia dk 30 na unakuta bado huwa namwuuliza kama hataki namwacha.
Kwa hiyo nimegundua sababu nyingine unakuta wanawake wenyewe hawacorparate mwisho wa siku na maziwa haja aondoke.
Tukumbuke mwanamke asipocorparate hata mwanaume hafurahii zaidi ya kumwaga na kupumzika.
Kama wanawake wote kwenye ndoa wanafanya hivi, basi ndiyo maana wanaume wanatoka nje ya ndoa. Ni embalasing sana.
hapo red, unamaanisha nini mkuu.
halafu Boflo kama wewe mwanaume, saluni za kike ulifata nini?