Mess
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 661
- 181
Majuzi nimesikia wizara ya afya ikisema hawamtambui yule daktari wa vidonda vya tumbo pale buguruni Dr. Lubago. Kuwa dawa zake hazijathibitishwa na wizara, cha kushangaza ni kwamba yule mama ameenda bungeni zaidi ya mara mbili akipewa nafasi ya kuongelea dawa zake na amekuwa akisema zimethibitishwa. Sasa kwa miaka yote hiyo amekuwa akitibu then kama kuna madhara si amedhuru watu wengi? ndo yale yakusema hatuna taarifa ya wanyama waliosafirishwa kwenda nje, wakati wamepita airport hapo hapo.
Serikali hii sina ya kuifananisha nayo.
Serikali hii sina ya kuifananisha nayo.