- Nina umri wa 32
- Sijaolewa, sina mtoto
- Mkristo mkatoliki
- Nina elimu ya chuo
- Mwajiriwa Serikalini
- Nina hofu ya Mungu ndani yang.
Natafuta mwanaume ambaye na yeye anahitaji mwenza kama mimi. Msinishangae mpk umri huo kutokuwa na mtu, jamani mwenzenu yalinikuta nilipoteza muda mwingi kuwekeza sehemu ambayo sio ridhiki.
Naamini waliomo humu ndani ndio waliopo nje/mtaani, so popote unaweza fahamiana na mtu.
Natafuta mwanaume atakayenipenda kwa dhati nami nimpende kwa dhati kama tutashare interest. Natamani nipate mwanaume aliyopo Dar mapenzi ya mbali mimi basi.
Awe na umri wa 32-39, Mkristo, elimu ya chuo-degree,master, hata chini ya hapo kama nitampenda haina shida, awe na kazi au awe amejiajiri ili tusaidiane katika maisha, awe na hofu ya MUNGU, awe na urefu wa kawaida. MCHESHI.
Kama ni wewe na muhitaji kama mimi nipm namba yako.
- Sijaolewa, sina mtoto
- Mkristo mkatoliki
- Nina elimu ya chuo
- Mwajiriwa Serikalini
- Nina hofu ya Mungu ndani yang.
Natafuta mwanaume ambaye na yeye anahitaji mwenza kama mimi. Msinishangae mpk umri huo kutokuwa na mtu, jamani mwenzenu yalinikuta nilipoteza muda mwingi kuwekeza sehemu ambayo sio ridhiki.
Naamini waliomo humu ndani ndio waliopo nje/mtaani, so popote unaweza fahamiana na mtu.
Natafuta mwanaume atakayenipenda kwa dhati nami nimpende kwa dhati kama tutashare interest. Natamani nipate mwanaume aliyopo Dar mapenzi ya mbali mimi basi.
Awe na umri wa 32-39, Mkristo, elimu ya chuo-degree,master, hata chini ya hapo kama nitampenda haina shida, awe na kazi au awe amejiajiri ili tusaidiane katika maisha, awe na hofu ya MUNGU, awe na urefu wa kawaida. MCHESHI.
Kama ni wewe na muhitaji kama mimi nipm namba yako.