Naamini mke wangu nitampata kupitia jf.

Naamini mke wangu nitampata kupitia jf.

ndesangao

Senior Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
110
Reaction score
28
Kwa kifup mim nikijana wamiaka 26,nimemaliza chuo ila ni mjasiria mali.mchaga natafta mke wa kumpenda,kumbembeleza na wakunidekea!awe mmarangu au kabila lolote.
 
kwa kifup mim nikijana wamiaka 26,nimemaliza chuo ila ni mjasiria mali.mchaga natafta mke wa kumpenda,kumbembeleza na wakunidekea!awe mmarangu au kabila lolote.
Huyu hapa
wadau nadhani mei moja imekwisha,mimi lwa ufupi ni msichana nina miaka24 nimemaliza chuo mwaka jana nipo mtaani nafanya biashara ndogo ndogo,me ni mchaga mmarangu, katika mipango yangu ya maisia nadhanh huu ni wakati wangu wa kuanzisha familia na kupanga maisha mengine,nadhani mume wangu yupo humu,ni wa kabila langu sio mbali na nilipozaliwa hvyo naomba ajitokeze tuwasiliane au tukutane,me naishi mwanza na tarime kwa sasa kwa sababu ya biasiara yangu,

nadhani mmenielewa ,
 
Kwa kifup mim nikijana wamiaka 26,nimemaliza chuo ila ni mjasiria mali.mchaga natafta mke wa kumpenda,kumbembeleza na wakunidekea!awe mmarangu au kabila lolote.

Shimbonyi shafoo ndesangao
 
sasa bwana ndeshao mbona kama unahitaji tu mmarangu kwanini kiruuu
 
Wewe ni mdogo wake mzungu mushi wa marangu hotel?hahaha
Watakuja tu wapo wengi mabinti wachanga kabisa kutoka marangu
Na wasikia kilio chako
 
Kwa kifup mim nikijana wamiaka 26,nimemaliza chuo ila ni mjasiria mali.mchaga natafta mke wa kumpenda,kumbembeleza na wakunidekea!awe mmarangu au kabila lolote.

ATM umepacheki kwamba pana foleni au la,network je? karibu #teamkarata kujeni huku kuna mtaji
 
ahaaa ya nini wapate shida na watu wana hitaji linalofanana.. wachukuane tu!

Tivalehe vatolane vavene. pe vatingine vikomage huho....teh teh sahamani kama umechwa kwenye lugha gongana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom