nkanga chief
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 2,084
- 1,620
Nimeamua kuacha kazi kwa sababu ya manyanyaso haya .
01 : Serikali ina mda mrefu sana inatuibia mishahara yetu kwa sababu haitaki kutoa salary slip kwa mda imetengeza watumishi portal nayo haifanyi kazi naibiwa mshahara wangu kwa kutoa ninachopokea.
Naacha kazi kwa sababu serikali mnaninyanyasa kushindwa kutuletea salary slip zetu kwa wakati
01 : Serikali ina mda mrefu sana inatuibia mishahara yetu kwa sababu haitaki kutoa salary slip kwa mda imetengeza watumishi portal nayo haifanyi kazi naibiwa mshahara wangu kwa kutoa ninachopokea.
Naacha kazi kwa sababu serikali mnaninyanyasa kushindwa kutuletea salary slip zetu kwa wakati