nkanga chief
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 2,084
- 1,620
- Thread starter
- #41
Serikali hii ya ovyo sana siwezi kufanya kazi na serikali ya kijinga kiasi hikihahhaa kuna jamaa alimwambia mwenzie anaetaka kuacha kazi "acha kazi ule masaburi yako"
Serikali hii ya ovyo sana siwezi kufanya kazi na serikali ya kijinga kiasi hikihahhaa kuna jamaa alimwambia mwenzie anaetaka kuacha kazi "acha kazi ule masaburi yako"
Baba josika kampa kampa kampa tena.
Salary slip zile original kwann haziji ili tufanye na mambo mengine huoni huu udiktetaWe Jamaa utakuwa na sababu nyingine ambazo hujataka kuziweka wazi, kuna njia kama mbili za kujua mshahara wako.
1.Nenda kwa Afisa Utumishi/ mwajiri wako mwambie akuprintie salary slip yako utapata taarifa zote uzitakazo.
2. Nenda Bank kachukue bank statement utaona kila mwezi mshahara unaoingia. Kila la kheri nazani utaghairi swala la kuacha kazi.
Alizoe rushwa,huyu mirija ya rushwa imezibwa.
Mkuu, labda useme tu masilahi yamekuwa finyu. Mikondo ya rushwa na mirija ya unyonyaji imefunga nini?
AAhahaaa. Eti uache kazi kea sababu Salary Slip haikufikii kwa wakati! Lazima utakuwa jipu tu.
TUmia akili ndogo tu kupewa salary slip ni haki yanguAlizoe rushwa,huyu mirija ya rushwa imezibwa
Fungua pandora box mkuuMkuu hapo umeniacha chalinze sijaelewa comment yako
Original salary slip nilisikia hazitoki kwasababu walikuwa wameishiwa materials ya kuandalia pia nazani ilikuwa ni njia ya kupunguza gharama za zoezi zima kuanzia kuzitoa mpaka kufika ktk halmashauri kote nchini. Ila kwasasa zinatoka kiongozi.Salary slip zile original kwann haziji ili tufanye na mambo mengine huoni huu udikteta
Kwani Mjamwepesi? Kapewa na nani?Huyu Mama kazi imeshamshinda..
Ngoja tu ajiendee Maternity Leave.
Kwani Mjamwepesi? Kapewa na nani?
Zinatoka baada ya mda gani ??Original salary slip nilisikia hazitoki kwasababu walikuwa wameishiwa materials ya kuandalia pia nazani ilikuwa ni njia ya kupunguza gharama za zoezi zima kuanzia kuzitoa mpaka kufika ktk halmashauri kote nchini. Ila kwasasa zinatoka kiongozi.
Kwasasa unaweza pata mpaka ya mwezi Wa 7.Zinatoka baada ya mda gani ??
MKUu asante but nimeingia but sijaelewa kwenye hivi vipengele najazaje ?Original salary slip nilisikia hazitoki kwasababu walikuwa wameishiwa materials ya kuandalia pia nazani ilikuwa ni njia ya kupunguza gharama za zoezi zima kuanzia kuzitoa mpaka kufika ktk halmashauri kote nchini. Ila kwasasa zinatoka kiongozi.
Upo serious ??Kweli ww ni mtumishi wa serikali au kijana wa kijiwen, eti unaacha kazi kazi kwa ajili ya salary slip
acha tu,kuna watu wala hawataki kujua hiyo salalry slip inafananaje,wanataka kufanya kazi tu wataziba pengo lako siku hiyo hiyoNimeamua kuacha kazi kwa sababu ya manyanyaso haya .
01 : serikali ina mda mrefu sana inatuibia mishahara yetu kwa sababu haitaki kutoa salary slip kwa mda imetengeza watumishi portal nayo haifanyi kazi naibiwa mshahara wangu kwa kutoa ninachopokea .
Naacha kazi kwa sababu serikali mnaninyanyasa kushindwa kutuletea salary slip zetu kwa wakati
Hawajui haki zao za msingiacha tu,kuna watu wala hawataki kujua hiyo salalry slip inafananaje,wanataka kufanya kazi tu wataziba pengo lako siku hiyo hiyo
Kama huvijui hivyo vipengele wewe sio mtumishiMKUu asante but nimeingia but sijaelewa kwenye hivi vipengele najazaje ?
01:;vote code
02: subvote code
03: salary scale
04: salary grade
05: salary step
Nielekeze najazaje vipengele hivi