Uni mwanitu
Senior Member
- Oct 25, 2014
- 198
- 55
Nimeipenda Sana hii. Ngoja nisome comment maana kama tulikua wote vile. Nataka kuukimbia utumwa.Habari wakuu wote wa jf
nawapenda sana hasa kwa mambo mazur nnayopata
Mmi ni mtumishi wa serikali kada ya elimu (mwl)
Sababu hasa ni hizi
1.interest au hob
Kiukweli hii kazi siipendi niliisomea bada ya kuwa sina otenative najitaidi niikubali but inashindikana so naona kama napoteza muda
2.kipato
Najua kuwa watumishi weng hasa awamu hii ya 5 weng wanalalamika hali ya uchumi but mmi naona hii yangu ni too much
Kiukweli najitahidi sana kujibana ila naona nashindwa, nashindwa kufanya hata mambo ya kawaida tu nikiwa kama baba natamani familiar yangu angalau iishi standard hata kias tu but huku nliko naona kama ndoto
Yan labda uwe mzee wa topup jambo ambalo naona pia ntaongeza ufukara mana ukiisha ndo utataabika kama nnavyoona wengine
Lengo la uzi huu ci kuwatangazia msimamo wangu bali ni kuwaomba wale ambao walishachukua maamuzi kama yangu au wanaotarajia hivyo waendlee kunipa moyo pia wote ambao watakua na wasaa basi wanisaidie kimawazo nifkie lengo langu
Naomba kuwaslisha
NB: Pls nmejitaidi kutumia lugha nzuri naomba bro o sister kama unanishaur bas lugha iwe ya kunielewesha isiwe ya kebehi au kunitusi kwan kuyaheshimu maamuzi ya mtu ni jambo la busara
Mkuu unakwenda kuanza na sifuri so kaza moyo. Kingine unaweza chukua mkopo unaaga kwenda kusoma ndo mazima
Naona wengi mliorudishwa kufundisha shule za msingi mmepagawa sana!
Punguza stress wape madogo elimu kwani mshahara si ulele uliotoka nawo secondary!
Chukua ushauri huuKabla hujaacha kazi hakikisha una mhimili wa kukuwezesha wewe na familia yako kusurvive.. Baada ya kujihakikishia hilo piga chini kacharike kivingine.
Bila kuzingatia hilo utazikumbuka zile 500 ulizokuwa ukizipata nwisho wa mwezi.
Acha kazi mara moja, roho yako inayo kuongoza haiwezi kukupoteza, nilifanya huko kazi lakini mafanikio niiyapata kwa rushwa tu, tena rushwa ndefu, bila rushwa mshahara wao hautoshi, tena wanakubana sana kila asubuhi uko kazini, hata muda wa kufikiri huna, kariakoo unaisahau. sasa ningeishije kwa wizi ?mpaka lini? nikayakoroga yasije nikuta
Ujue hao wanaopata raha serikalini wana ma-godfather wao wana tanua sana, au kama unaweza ujipendekeze sana kiasi cha kujidhalilisha, na kufanyiwa ya hovyo,
Wale wenye godfather wanapewa semina na mishahra ina panda kama kawa, wanapanda madaraja, wanapewa nafasi nzuri hata wa chini yako anawezakuwa na mshahara mkubwa kuliko wewe ilimradi tu ana godfather. wakiona umemenunua gari, umejenga umeenda kusoma, wanakuzushia tu ili uhame au
wanakukatia mshahara kwa muda usojulikana bila sababau ilimradi tu utumie resources zako zote,
kwa kufidia pengo la mshahra, utafuatilia mpaka miguu iote kutu, na usisubili hayo yakukute ondoka mara moja, huko serikalini imejaa misukule mitupu, yana visukari, ma high BP, ni shida sana huko. labda magufuli ayaondoe kwa sasa.
Top layer ya serikalini itakupenda Kama unaishi kwa shida shida sana, huna mpango wa kwenda kujiendeleza (kusoma), mfano mlevi, teja( mlandukaji), mgonjwa wa ukimwi, hapo hutoki, lkn eti kijana una afya yako mjanja unadundulize hela yako unapojua mwenyewe, ujenge nyumba gari weeee! utaona kila rangi ya fitina.
Navyo kuona wewe tayari ni mjanja, umeshtuka ka mshahara kadogo, ina maana utatengeneza vyanzo vingine vya pesa, wakikujua tu tegemea hayo hapo juu, Yaani wanaweza lengesha rushwa tu, kuna mawili godfather akutose, au aendelee kukuunga mkono hivohivo, akihamishwa umeumia.
UKIKAA KAA KI MAGUTU SANA ISIVO KAWAIDA. yangu ni hayo!
kila la kheri!
Wewe unafanya kipi kati ya hivyo? Na status yako ya maisha ipoJe?Ukiishi katika uoga hakika hautafanikiwa katika Maisha haya.
uoga ni adui mkubwa wa mafanikio.
Pia ujinga ni kung'ang'ana na kitu ambacho hakikunufaishi wala kukuletea mfanikio yoyote.
Fikiria umefanya kazi 5yrs but hauna hata nyumba wala gari.
Maisha yako kila kukisha yanazidi kuwa magumu sana.
But unazidi kung'ang'ana hukohuko. Huo ni ujinga mkubwa sana. Njoo tufanye ujasiriamali mkuu.
utateseka mwaka mmoja ila after 3ys utakuwa Tajiri mkubwa sana mwenye kipato kizuri sana.
Wekeza katika mambo madogo madogo mfano mradi wa chips, mgawahawa , sehemu ya kuuza pombe pamoja na kitimoto , ukumbi wa kuangalia mpira etc uone utakavyokuwa uaningiza hela mpaka utajuta kupoteza muda huko uliko.
Moja kati ya ushauri bora na mzuri kuliko zote katika thread hiiMkuu Sauti uisikiayo kutoka nafsi yako ndio usahihi wako...
Mara zote public opinions za mambo yasioyo na ukawaida huwa ni negative .. Kwa maana kuwa haijazoeleka kuona mtu akiacha kazi na kufanya issues zake ... Tegemea kukutana na vitisho na kuvunjwa moyo..
Ila amini nakwambia kuajiriwa ni utumwa na hautakuja kuishi maisha ya ndoto yako kwa kuajiriwa. Utaishia saaaaNa kuishi maisha MAZURI na sio BORA.
Maisha Bora ni kuwa free na familia yako , kupata muda Wa kuumzika etc..
Ushauri wangu ni Sikiliza nafsi yako... Hakuna anaejua hali yako .. Wewe ndio unajijua Gap lako la maisha likoje kuwa kama ukiacha kazi utalifill vipi na kwa muda gani ...
Nakuomba utafute shughuli ya kufanya kabla ha kuacha kazi atleast miezi sita kabla ya kuacha kazi ... Katika kipindi hicho fanya Reformations za unavyoishi ili uanze kuadapt utakavyoishi kwa kujiajiri.. Kama ulikuwa kwa mwezi unatumia 200,000 kwa matumizi ya nyumbani jitahidi upunguze ..
Nunua friji uwe unanunua vifaa vyote kwa mwezi , gharama isiwe hiyo 200,000... Kama ulikuwa unakaa katikati ya mji na unalipa kodi kubwa , jitahidi uhamie nje ya mji kuna nyumba nzuri sana kwa bei nafuu sana na unaweza kupata hata sehemu kubwa ya kuanzisha mradi Wa ufugani Kuku na mayai ...
KwA ufupi nifanyie self assessment yako halafu njoo na Work plan yako ...
Amini nakwambia utapitia uchungu kwa kipindi kifupi ila utamu wake utakuwa Wa muda mrefu kuliko walioajiliwa ambao wanakuona hujielewi ..
Please Follow Where Your Heart Tells You To Follow.
Ni tarehe 25 mkuuHivi watu mnawezaje kuishi kwa kusoboneka ?? Hivi watu mnawezaje kuishi kwa kuteseka ??
Jamani tunaishi mara 1 duniani usiruhusu kuteseka Kisa kazi .. Maisha kwangu huwa siyaogopi kabisa ... Niliacha kazi account Yangu INA laki 3 and Niko fresh tu .. Sipendi kuamrishwa amrishwa hovyo kazini .. Sipendi makato ya hovyo kwenye salary.. Hizo ni sababu chache zilizofanya nijione sina vigezo vya kuajirika licha tangu nimemaliza chuo nilikuwa nimeajiriwa sehemu kadha wa kadhaa ..
Jamani Uoga ndio umasikini wako ... Endeleeni kusubiri mishahara ya tarehe 30 tu