Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,175
- 34,410
Ha ha ha we bana kuchepuka ni kuchepuka tu
na kwenye hiyo michepuko ndo kuna kuwakoma watu
Hamna bibi weeee.
Kuna mchepuko kwa mpango.
Ha ha ha we bana kuchepuka ni kuchepuka tu
na kwenye hiyo michepuko ndo kuna kuwakoma watu
Mimi natembea na maabara kabisa. Nabeba kila kitu kwenye kibox kama cha first aid kit. Nampima mkojo na damu kubwa.
Baaba, mbona we hunnunulii pipi kama Anko Kidevu?
We, Anko Kidevu ndo nani?
Si yule anannunuliaga soda na chips kila nkitoka shuule.....:biggrin1:
Sijui ni lafudhi ya kihaya ileee, advert inanikosha sana ile.
Sijui ni lafudhi ya kihaya ileee, advert inanikosha sana ile.
Hata nisiposema haibadilishi kitu, wala wewe sio wa kwanza kupoteza ndugu mi pia nshapoteza wengi tu
Watawakoma wanaokaa zipu wazi....
Wote ndaniiiiiina wale wasio na zipu ila wanagawa kama totojo?
I nitakusaka unipe huo mpango na mie lol......Hamna bibi weeee.
Kuna mchepuko kwa mpango.
I nitakusaka unipe huo mpango na mie lol......
Wote ndaniiiiii