Na Tunisia ilianza hivi hivi

Na Tunisia ilianza hivi hivi

Akili za ufipa.
Hivi unafananishaje dikteta ma mtu aliyekaa madarakani miaka 2, matukio ya kupigwa risasi yapo kila nchi.
Siku moja tutaimba wimbo wa ukombozi.
UPUMBAVU Na ulevi wa mvinyo wa maslahi Na mapenzi yako kwa chama yanakufanya uwe na roho ya nguruwe kuona ni haki Na ni sawa watu kufa kwa ajili ya chama cha Mashetani CCM.
Kausikilize wimbo wa Bob Marley Redemption Song verse ya pili. Mtatuteka, Mtatutesa, Mtatuua lakini kuna siku tutasema enough is enough
 
Siku moja tutaimba wimbo wa ukombozi.
UPUMBAVU Na ulevi wa mvinyo wa maslahi Na mapenzi yako kwa chama yanakufanya uwe na roho ya nguruwe kuona ni haki Na ni sawa watu kufa kwa ajili ya chama cha Mashetani CCM.
Kausikilize wimbo wa Bob Marley Redemption Song verse ya pili. Mtatuteka, Mtatutesa, Mtatuua lakini kuna siku tutasema enough is enough
Wee toka povu utakavyo, nilichosema hapo ndio ukweli.
R.I.P to the deceased, ila accidents happen, i feel sorry for her and her loved ones! Tatizo unaishi ndani ya boksi na umejifungia na funguo umemeza na choo hupati.
Sina haja ya kusikiliza huo wimbo, nina akili timamu na nina njia za kunipa mzuka niweze fanya kitu, sitegemei Bob Marley, wee nenda kamsikilize.
 
Mkuu mbona waota kweupe hvyo ..yaaani umekaa watarajia viongozi wa tz kujihudhuru ...labda kama nchi imehamia pluto
Naisikiliza wimbo wa Bob Marley Redemption Song verse ya pili Na kuitafakari kwa kina. Muda utaongea
 
Wee toka povu utakavyo, nilichosema hapo ndio ukweli.
R.I.P to the deceased, ila accidents happen, i feel sorry for her and her loved ones! Tatizo unaishi ndani ya boksi na umejifungia na funguo umemeza na choo hupati.
Sina haja ya kusikiliza huo wimbo, nina akili timamu na nina njia za kunipa mzuka niweze fanya kitu, sitegemei Bob Marley, wee nenda kamsikilize.
 
Yote hayo yanamwisho jaman au mmesahau Roman empire ilivo sumbua dunia miaka ile ..akina Hitler ,Mussolini, Alexander the great na kina Mugabe wako wapi .....Ni swala la mda tu hakuna marefu yasiyo kua na kina .......Cha msingi tuombe amani
 
Naomba tufike huko tuchinjane aswa ata kwa siku wafe 10000000
 
Na shindwa hata cha kuandika ila powah tu
 
...madaraka yamewalevya hawaoni wala hawasikii...haya ni mapito ambayo dola dhalimu hupitia kabla ya mwisho wake....watakachoweza kufanya ni kuchelewesha tu...sasa hivi wanazidi kuwajaza upepo RAIA..siku ikifika watakoma....sasa hivi kila mtu muhanga wa utawala huu....kuanzia huko kwenye siasa....utumishi wa umma...hadi mashuleni wanakofeli watoto hadi vyuoni na kijijini wanakooza RAIA kwa kutokuona chochote cha maana kinachofanywa na utawala huu dhalimu...hii dhambi lazima itawarudi kabla hawajatoka madarakani...kama si kwa ujumla wao basi hata kwa mmoja mmoja....hata kwa njia ya natural justice...huwezi kutesa RAIA tu unavyotaka...alafu ukabaki salama!!!tena mbaya unawatesa ukijua huwawezi kufanya kitu...hii ni mbaya mnoo....
 
Watanzania sio Watunisia, wajeshi wa tz sio wale wa zimbabwe, ccm sio ANC.
 
Yote hayo yanamwisho jaman au mmesahau Roman empire ilivo sumbua dunia miaka ile ..akina Hitler ,Mussolini, Alexander the great na kina Mugabe wako wapi .....Ni swala la mda tu hakuna marefu yasiyo kua na kina .......Cha msingi tuombe amani
Kwenye list pia kamanda Dj mwisho wake umefika.
 
Hata wa SIERA LEONI WALIKUWA WAPOLE KULIKO WATZ LAKINI WALIVYOANZA KUCHINJANA KILA.MTU ALISHANGAA
 
Hivi Haya mambo ya kupigana risasi kisa tu madaraka unayaona ya kawaida? Tunisia ilichafuka na nchi haikutawalika tena, Na Rais ataondolewa madarakani kwasababu ya mwanafunzi mmoja muuza nyanya kusumbuliwa Na askari wa mji. Maelfu walipoteza maisha yao. Nchi ikichafuka bata tutalia wapi? Nani ataenda club kukiwa kunarindima mambomu? Nani ataenda kwenye ulabu risasi zikiwa zinapishana hewani? Nyumba za wageni zina Raha gani Na nje ni vufaru na mizinga ndivyo ninavyotamani? Tunahitaji kutubu kwa ajili ya ardhi ya Tanzania, wengi hawajui Hali hii ni ishara mbaya. Tukizizoea risasi hatutaziogopa tena. Tukizoea maiti tutazipenda Na hatutaona faida ya kuishi. Huo utakuwa ndio mwanzo wa Vita ya wenyewe kwa wenyewe. Pole najua hupendi kusoma maelezo marefu. Uwe na siku njema
"Nitaongoza mapambano nchi hii, nitaongoza mapambano nchi hii, hata kama watanzania (100) watakufa wataleta haki nchi hii ni wangapi wanasema tufanye kama Misri na Libya?!! , Watakao kufa hata wakiwa (200 ) tuko tayari kwa mapambano na wao wanafikiri ni kinondoni tu lakini Ilala itawaka pia nchi nzima iwataka moto'"

Mwisho wa kunukuu (Maneno ya Freeman Mbowe mbunge wa Hai-Katika mkutano wa kufunga kampeni wa 16/02/2018 uliofanyika viwanja vya Buibui, Mwananyamala Komakoma).

Kauli kama hizi ni mbaya sana kutolewa na viongozi wa vyama vya siasa.

R.I.P Akwilina
 
"Nitaongoza mapambano nchi hii, nitaongoza mapambano nchi hii, hata kama watanzania (100) watakufa wataleta haki nchi hii ni wangapi wanasema tufanye kama Misri na Libya?!! , Watakao kufa hata wakiwa (200 ) tuko tayari kwa mapambano na wao wanafikiri ni kinondoni tu lakini Ilala itawaka pia nchi nzima iwataka moto'"

Mwisho wa kunukuu (Maneno ya Freeman Mbowe mbunge wa Hai-Katika mkutano wa kufunga kampeni wa 16/02/2018 uliofanyika viwanja vya Buibui, Mwananyamala Komakoma).

Kauli kama hizi ni mbaya sana kutolewa na viongozi wa vyama vya siasa.

R.I.P Akwilina
dhuluma ya haki italeta machafuko nchi hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom