Na Mungu Anisaidie

Na Mungu Anisaidie

katoto kazuri

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
6,126
Reaction score
5,762
Ndoa nikitu sijaelewa kama ni serious hivi ila kwa jamani sioni kama nyie mlioko kwenye ndoa mnaona.
1.haya maneno mwaliona simple napia kwa walio kwenye ndoa .
A. Kwa shida na raha .(kwa hiyo lolote baya sio unakimbia mnalitatua.
Furaha lazima mtashea .
B.Utajiri na umaskini ila (kuna watu wenzao wakifulia wanawaacha .
C.Uzima na ugonjwa (ugonjwa unaweza kumtenga mtu akiwa mgonjwa na kutomhudumia hapa wanaume wanahusika .
HILI NENO NA MUNGU anisaidie kweli jamani hili neno nikazi kama unaoa unacheet au una mabwana unaweza kula chakula unameza lakini umetokwa kwa wanaume au wanawake hii nikazi sana jamani.
Kweli mko juu .
Hamtunzi familia haipendi mnaipiga umeoa unakuja usiku wa manane mmelewa mnapigania mali ili upande wapili ule .
Maisha gani haya ulipomwoa ulidhani kuwa niwakumtumia tu apate mali uanze kumsumbua akili.
Mnapigana kisa malaya mnachukiana kisa mali mnasemana yaani visa ugomvi kila saa kwanini mmeoana au umeoa au umeolewa kama ulikiwa na demu /mwanaume wa zamani jamani kwani ulioa au kuoelewa ungekaa mwenyewe na yeye mnatesana kabisa .
Basi ungekuwa bachelor sio unatesa familia kwa michepuko .
Unakimbiza hadi mke wako kisa michepuko au mme wako kisa michepuko kuoa au kuolewa nikukibali kuwa na mtu ulimchagua kama hujamchagua usimwoe kuoa si kitu ya mchezo unaingia ingia tu kama hujiamini basi.
Usioe mpaka ukiamini.
 
Ukweli hayo ni maneno magumu sanaa kwa mwanamke yaani unaacha jina lako,unaachaMungu wako wakati mwingine hadi imani,nyumbani kwenu unaondoka unarudi kutembea..aisee ni kujitoa sadaka sana.......then ufike humo kwa ndoa huko mume akugeuke inaumiza sana God forbid....Na Mungu nisaidie
 
Inategemea mtu na mtu,wakati mwingine wake zetu hawawezi kutupa huduma muda wote,na ili ndoa iimarike na usilete machukizo inabidi utafute msaidizi(mchepuko) usiokuwa na madhara kwa mkeo,huku ukiendelea kumjali mkeo na kumpa huduma zote muhimu na za ziada zinazohitajika.
 
Humu leo nimeweka full stop sintamkubalia mtu aje pm ma wa pm sintokaa kuwa na mawasiliano nao hata nikipenda hiii kitu naomba Mungu aniongozee .
Leo ni tarehe 19/06/2019 sintakaaga kabisa .
Kabisa kuamini watu humu zaidi ya kuweka post na kucomment tu
 
Humu leo nimeweka full stop sintamkubalia mtu aje pm ma wa pm sintokaa kuwa na mawasiliano nao hata nikipenda hiii kitu naomba Mungu aniongozee .
Leo ni tarehe 19/06/2019 sintakaaga kabisa .
Kabisa kuamini watu humu zaidi ya kuweka post na kucomment tu
hiyo kitu itasinyaa sasa
 
Ndoa nikitu sijaelewa kama ni serious hivi ila kwa jamani sioni kama nyie mlioko kwenye ndoa mnaona.
1.haya maneno mwaliona simple napia kwa walio kwenye ndoa .
A. Kwa shida na raha .(kwa hiyo lolote baya sio unakimbia mnalitatua.
Furaha lazima mtashea .
B.Utajiri na umaskini ila (kuna watu wenzao wakifulia wanawaacha .
C.Uzima na ugonjwa (ugonjwa unaweza kumtenga mtu akiwa mgonjwa na kutomhudumia hapa wanaume wanahusika .
HILI NENO NA MUNGU anisaidie kweli jamani hili neno nikazi kama unaoa unacheet au una mabwana unaweza kula chakula unameza lakini umetokwa kwa wanaume au wanawake hii nikazi sana jamani.
Kweli mko juu .
Hamtunzi familia haipendi mnaipiga umeoa unakuja usiku wa manane mmelewa mnapigania mali ili upande wapili ule .
Maisha gani haya ulipomwoa ulidhani kuwa niwakumtumia tu apate mali uanze kumsumbua akili.
Mnapigana kisa malaya mnachukiana kisa mali mnasemana yaani visa ugomvi kila saa kwanini mmeoana au umeoa au umeolewa kama ulikiwa na demu /mwanaume wa zamani jamani kwani ulioa au kuoelewa ungekaa mwenyewe na yeye mnatesana kabisa .
Basi ungekuwa bachelor sio unatesa familia kwa michepuko .
Unakimbiza hadi mke wako kisa michepuko au mme wako kisa michepuko kuoa au kuolewa nikukibali kuwa na mtu ulimchagua kama hujamchagua usimwoe kuoa si kitu ya mchezo unaingia ingia tu kama hujiamini basi.
Usioe mpaka ukiamini.
Ata. Siku moja moja ukificha ujinga wako sio mbaya sana Kwa siku moja tu
 
Mimi ni big lover wa threads za katoto kazuri! Sikuhizi umepunguza sana speed mpendwa. nani anakuficha
 
Back
Top Bottom