Na mimi na moyo wa nyama!

Na mimi na moyo wa nyama!

Andrew abel

Member
Joined
Dec 6, 2012
Posts
49
Reaction score
4
Jamani natafuta mchumba age interval 16-23!
Maana nimechoka sana huku mtaani wananiona mgumu eti sina hisia hawajui kua na act! Na mimi najua kupenda ila sipendi kuchepuka tena moyo wangu si wa plastic,..aliyeridhia anichek basi..
 
16yrs????

Una uhusiano wowote na Abely Mwinuka?
 
Kibo10 somo lako la jana halijaeleweka kabisa
 
Last edited by a moderator:
Huyo wa 16 years unataka umpeleke shule?
Nenda jukwaa husika la wenye uhitaji kama wako ukachague unaweza kupata anayekidhi vigezo vyako na bado akawa hajapata mwenza!!
 
Huyo wa 16 years unataka umpeleke shule?
Nenda jukwaa husika la wenye uhitaji kama wako ukachague unaweza kupata anayekidhi vigezo vyako na bado akawa hajapata mwenza!!

Maana hiyo 16 imewauma kwelii bac iwe excluded!!
Ila muafaka upatikane jamani!!
 
utasubiri sana kwa mwandiko huo.

Hahaha...husninyo unamkatisha tamaa kijana...amesema na yy ana nyama...ila cjajua kwann hatak anaeonekana mtaan anataka wa uku invissible...ila ndo mahaba niue ayo!
 
Jamani natafuta mchumba age interval 16_23!!
Maana nimechoka sana huku mtaani wananiona mgumu eti cna hcia hawajui kua na act!!! Na mm najua kupenda ila cpendi kuchepuka tena moyo wangu c wa plastic,..aliyeridhia anichek bacccc!!

Kwa uzoefu wangu humu kwenye mitandao huwezi kupata mchumba mkawa serious zaidi ya kupunguziana uzito. Pia kwa age uliyosema unatafuta jela tukifuata sheria za ndoa

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Kwa uzoefu wangu humu kwenye mitandao huwezi kupata mchumba mkawa serious zaidi ya kupunguziana uzito. Pia kwa age uliyosema unatafuta jela tukifuata sheria za ndoa

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Upo sahihi lakini nimetangaza uchumba ambao kila mmoja atakua na uhuru wa kufanya yale ya msingi kwa manufaa yetu sote!
Kwa hilo nipo radhi wandugu!
 
Kwa uzoefu wangu humu kwenye mitandao huwezi kupata mchumba mkawa serious zaidi ya kupunguziana uzito. Pia kwa age uliyosema unatafuta jela tukifuata sheria za ndoa

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Na hii ni kawaida kama mtaamua kulindana till the right time to become!
 
Mtoto wa mwenzio mwanao - Mama Salma Kikwete
 
Back
Top Bottom