Na Mapenzi mbashara kaa mbali nami

Na Mapenzi mbashara kaa mbali nami

poisson

Senior Member
Joined
Jul 17, 2016
Posts
130
Reaction score
42
Walioleta neno mubashara, ni waharibifu wa lugha wanaoiga wakongo, ndio hawa wanaosema Muke ya mimi. Ukitamka neno hilo mbele yangu nakunasa kibao....
 
ukweli ni kuwa Mubashara inamaanisha moja kwa moja "Live* ila nasikitika chombo kimoja cha habar kimelinadi sana hili neno kuonekana ni swala la mapenzi.. yaan wamepotosha maana kabisa..
 
mbona ni neno la kiswahili hilo! au ulitaka liandikwe mbashara?
 
Mubashara kwani lina shida gani??
 
Back
Top Bottom