cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,669
- 5,034
Hivi ni kweli kabisa mtu anaweza kuwa na millioni 1 mpaka 5 halafu hana cha kufanya, wakati anazikusanya hata hana idea yoyote ya kufanya.
Nahisi utakuwa hauko serious, kweli najaribu kuwaza vijana wenzangu wapo wana ma idea kibao huko kichwani mwao wanasaka huku na huko ku implement kile walichonacho kichwani mwao kuwa katika reality lakini mambo yanaenda ndivyo sivyo kweli maisha yanatofautiana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi utakuwa hauko serious, kweli najaribu kuwaza vijana wenzangu wapo wana ma idea kibao huko kichwani mwao wanasaka huku na huko ku implement kile walichonacho kichwani mwao kuwa katika reality lakini mambo yanaenda ndivyo sivyo kweli maisha yanatofautiana
Sent using Jamii Forums mobile app