Kwa kweli tumekua watu wa ajabu sana ,viongozi wote tumemuachia magufuli afikiri juu yetu
Kuna utaratibu wa ajabu Sana kuwa siku ya jumamosi utakuta maduka asubuhi yamefungwa mpaka saa nne eti sababu ni usafi na ukifungua unakamatwa faini 50000,
Kwanini serikali isiwaruhusu watu wafungue then waendelee kutoa huduma mtu anaweza kumpa kijana hela aendelee kufanya usafi eneo lake wakati yeye akiendelea na biashara,
Dodoma ndo imekua kero maduka yote yamefungwa na ajabu hakuna anaefanya usafi so watu wanasubiri tu mda ufike afungue , serikali nashauri iruhusu mtu aendelee kufanya biashara na wakati usafi ukiendelea kwanza mtatoa ajira ya vijana wengi maana kijana atapewa 3000 au zaid ya kufanya usafi huku tajiri akiendelea kufanya biashara kuliko kulazimisha kufunga duka na usafi haufanyiki,
Kuna utaratibu wa ajabu Sana kuwa siku ya jumamosi utakuta maduka asubuhi yamefungwa mpaka saa nne eti sababu ni usafi na ukifungua unakamatwa faini 50000,
Kwanini serikali isiwaruhusu watu wafungue then waendelee kutoa huduma mtu anaweza kumpa kijana hela aendelee kufanya usafi eneo lake wakati yeye akiendelea na biashara,
Dodoma ndo imekua kero maduka yote yamefungwa na ajabu hakuna anaefanya usafi so watu wanasubiri tu mda ufike afungue , serikali nashauri iruhusu mtu aendelee kufanya biashara na wakati usafi ukiendelea kwanza mtatoa ajira ya vijana wengi maana kijana atapewa 3000 au zaid ya kufanya usafi huku tajiri akiendelea kufanya biashara kuliko kulazimisha kufunga duka na usafi haufanyiki,