Na hili la sakata la kina Jairo na Ngeleja linahitaji kujipima au kamati kujivua magamba?!

Jan 16, 2007
721
176
Sasa unakaribia mwezi baada ya tume ya bunge kutoa taarifa kuhusu sakata la Jairo na wenzake kukusanya pesa kinyume cha sheria(Ufisadi)Ushahidi uliaanishwa wazi na mapendekezo ya hatua ya kuchukuliwa kwa wahusika.Ni mategemeo ya wengi yalikua kwa wahusika waliotajwa watajiuzulu au kufukuzwa kazi na kufikishwa vyombo vya sheria,lakini mpaka sasa hakuna chochote kilichotokea watu hao wanaendelea na shughuli zao kama kawaida,au na wao wanapashwa kupewa muda wajipime na kuchukua hatua?Au wanahitaji kuudiwa kamati ya kuwalazimisha kujivua nafasi zao?! Hii inatoa picha na funzo lipi kwa jamii?Kwanza ni mfano upi kwa wizara na taasisi za serikali zinazofanya ufisadi?Je pesa iliyotumika kwa kamati iliyoundwa kwa kuchunguza sakata hilo imepotea bure?!Kwani kuunda kamati ambayo maamuzi yake hayatekelezwi ni ufisadi juu ya ufisadi na kuwabebesha walipa kodi gharama zisizo na tija.MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Sasa unakaribia mwezi baada ya tume ya bunge kutoa taarifa kuhusu sakata la Jairo na wenzake kukusanya pesa kinyume cha sheria(Ufisadi)Ushahidi uliaanishwa wazi na mapendekezo ya hatua ya kuchukuliwa kwa wahusika.Ni mategemeo ya wengi yalikua kwa wahusika waliotajwa watajiuzulu au kufukuzwa kazi na kufikishwa vyombo vya sheria,lakini mpaka sasa hakuna chochote kilichotokea watu hao wanaendelea na shughuli zao kama kawaida,au na wao wanapashwa kupewa muda wajipime na kuchukua hatua?Au wanahitaji kuudiwa kamati ya kuwalazimisha kujivua nafasi zao?! Hii inatoa picha na funzo lipi kwa jamii?Kwanza ni mfano upi kwa wizara na taasisi za serikali zinazofanya ufisadi?Je pesa iliyotumika kwa kamati iliyoundwa kwa kuchunguza sakata hilo imepotea bure?!Kwani kuunda kamati ambayo maamuzi yake hayatekelezwi ni ufisadi juu ya ufisadi na kuwabebesha walipa kodi gharama zisizo na tija.MUNGU IBARIKI TANZANIA.

hii ndo Tanzania tuijuayo!acha gubu!!!!wenzenu wakila kazi kuwafuatilia!!!!!mliwachagua wa nini sasa!!!laumu akili yako kushindwa fanya maamuzi au pindua uongozi kama unaweza kama walivyofanya Sadam Hussein na Muamar Ghadafi!!!!!!vinginevyo jinyonge!!!!
 
Inamuwia vigumu Kikwete kuwachukulia hatua stahiki hawa mafisadi kwasababu moja kubwa nayo ni kwamba matendo yote ya Jairo na Luhanjo yalikuwa na baraka zake!! Sasa kuonesha jeuri yake kwa wananchi waliomchagua, anakaa kimya na kuwaruhusu hawa jamaa wafikishe umri wao wa kustaafu halafu waondoke na kiinua mgongo na pension juu ya hizo walizokwiba. Ingekuwa amri yangu ningewafungulia wote walioko jela wawe huru kwani Rais wetu anawalinda wahalifu wakubwa na kuwafunga waiba kuku tu!!
 
Lowasa amesema wazi kuwa 'DILI LA RICHMOND' hakuwa peke yake, sasa wewe unadhani 'DILI LA JAIRO' yuko peke yake? Rais anajua akiamua kuchukua hatua atafagia wizara nzima. :canada:
 
Sasa unakaribia mwezi baada ya tume ya bunge kutoa taarifa kuhusu sakata la Jairo na wenzake kukusanya pesa kinyume cha sheria(Ufisadi)Ushahidi uliaanishwa wazi na mapendekezo ya hatua ya kuchukuliwa kwa wahusika.Ni mategemeo ya wengi yalikua kwa wahusika waliotajwa watajiuzulu au kufukuzwa kazi na kufikishwa vyombo vya sheria,lakini mpaka sasa hakuna chochote kilichotokea watu hao wanaendelea na shughuli zao kama kawaida,au na wao wanapashwa kupewa muda wajipime na kuchukua hatua?Au wanahitaji kuudiwa kamati ya kuwalazimisha kujivua nafasi zao?! Hii inatoa picha na funzo lipi kwa jamii?Kwanza ni mfano upi kwa wizara na taasisi za serikali zinazofanya ufisadi?Je pesa iliyotumika kwa kamati iliyoundwa kwa kuchunguza sakata hilo imepotea bure?!Kwani kuunda kamati ambayo maamuzi yake hayatekelezwi ni ufisadi juu ya ufisadi na kuwabebesha walipa kodi gharama zisizo na tija.MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Tanzania ni zaidi ya uijuavyo si ajabu kusikia rais kaunda tume nyingine.
 
Serikali iko busy na MIAKA 50 YA UHURU kuawaalika watu wakimaliza ndio watawafukuza endelea kusubiri
 
Hivi nani alishawahi kufukuzwa kazi kwa kuboronga hapa bongo zaidi ya kuhamishiwa sehem nyingine akaboronge zaidi
May be yule mkuu wa wilaya aliyechapa walimu viboko
Ila hawa wengine wanahamishiwa tuu sehem nyingine wakafanye madudu zaidi

tanzania zaidi ya uijuavyo
 
bado wapo katika mchakato; mchakato ambao hautaisha hadi Jairo na Katibu Mkuu Kiongozi muda wao muafaka wa kustaafu utumishi wa umma utakapofikia (ref. Mnyika case vc Richmond). that is made in Tanzania only!
 
Hakuna hata mmoja ambaye atajiuzulu maana hata wakubwa wao walipewa pesa hizo na walikuwa wanajua kila kinachoendelea.
 
Sasa unakaribia mwezi baada ya tume ya bunge kutoa taarifa kuhusu sakata la Jairo na wenzake kukusanya pesa kinyume cha sheria(Ufisadi)Ushahidi uliaanishwa wazi na mapendekezo ya hatua ya kuchukuliwa kwa wahusika.Ni mategemeo ya wengi yalikua kwa wahusika waliotajwa watajiuzulu au kufukuzwa kazi na kufikishwa vyombo vya sheria,lakini mpaka sasa hakuna chochote kilichotokea watu hao wanaendelea na shughuli zao kama kawaida,au na wao wanapashwa kupewa muda wajipime na kuchukua hatua?Au wanahitaji kuudiwa kamati ya kuwalazimisha kujivua nafasi zao?! Hii inatoa picha na funzo lipi kwa jamii?Kwanza ni mfano upi kwa wizara na taasisi za serikali zinazofanya ufisadi?Je pesa iliyotumika kwa kamati iliyoundwa kwa kuchunguza sakata hilo imepotea bure?!Kwani kuunda kamati ambayo maamuzi yake hayatekelezwi ni ufisadi juu ya ufisadi na kuwabebesha walipa kodi gharama zisizo na tija.MUNGU IBARIKI TANZANIA.

Luhanjo anastaafu december mwishoni tunaona tuvute muda atoke akiwa mstaafu badala ya kufukuzwa. Ni dingi yangu samahanini sana
 
Back
Top Bottom