Na hii inawezekana kuwa sababu ya kuwa na matokeo mabaya alevel mwaka huu?

Mani H

Senior Member
Mar 25, 2011
180
46
migomo ya mara kwa mara ya vyuo hapa nchini inawezekana ikawa ni sababu ya kupungua kw idadi ya waliopass alevel mwaka huu kulinganisha na miaka ya nyuma?. me kwa mtazamo wangu kabla matokeo haya nilifikiria hili na kumweleza rafik yangu kuwa hii migomo inaweza ikaathiri matokeo ya alevel, na nilisema hivyo kufikiria kuwa serikali yetu inatafuta mbinu ya kupunguza migomo hiyo kwa njia yoyote yaaani yenye tiba kwa wanafunzi au isyo, vp wenzangu wa jf mnalizungumziaje ili?
 
migomo ya mara kwa mara ya vyuo hapa nchini inawezekana ikawa ni sababu ya kupungua kw idadi ya waliopass alevel mwaka huu kulinganisha na miaka ya nyuma?. me kwa mtazamo wangu kabla matokeo haya nilifikiria hili na kumweleza rafik yangu kuwa hii migomo inaweza ikaathiri matokeo ya alevel, na nilisema hivyo kufikiria kuwa serikali yetu inatafuta mbinu ya kupunguza migomo hiyo kwa njia yoyote yaaani yenye tiba kwa wanafunzi au isyo, vp wenzangu wa jf mnalizungumziaje ili?
sidhani kama migomo ya vyuo ina uhusiano na a-level.
 
sidhani kama migomo ya vyuo ina uhusiano na a-level.

ndugu yangu vitendo, ninapozungumzia hiyo migomo ya vyuo na kuhusisha na kufeli kwa a-level sijausisha kuwa sababu za migomo vyuoni mbali nimehusisha wahusika zaid ambao ni wanafunzi na serikali, kma tunavyojua kuwa uwezi kwenda chuo bila ya kupass a-level, sasa kma wewe ni serikali na wanafunzi wanadai matakwa yao kila siku, na kinachowapa nguvu zaid ni idadi kubwa waliyonayo, na wewe kma serikali upendi kutatua matatizo yao ya mara kwa mara, pia wewe kma serikali ndio unaowasimamia katika elimu yao ya a-level na kupitia wizara yako ya elimu unawafanyia uhakiki kwa kuwapa mtihani kwa lengo la wenye uwezo waendelee na masomo ya juu ambayo ndio vyuo ,je wewe kma serikali uwezi kuchakatua matokeo yao ili kupunguza idadi ya watakonyiunga vyuoni, hii kw lengo la kupunguza makali ya migomo ya mara kw mara?
 
conspiracy theory

labda ila hapana, 1) serikali itajuaje wanafunzi wepi watagoma (wenye mwelekeo wa kugoma) ili iwafelishe hao? 2) wanafunzi wa vyuo wanagoma bila sababu kweli? jibu ni hapana wanagoma wakiwa na sababu na wakati mwingine ni very valid.

unless unaweza kufanya analysis ya performance somo kwa somo huwezi ku-generalize hiyo assumption yako
 
Back
Top Bottom