Wadau poleni kwa uchovu wa siku nzima me shida yangu kama kuna mtu anao wimbo wa dogo mmoja hivi simjui ameimba ivi"narudi nyumbani kuenyoj ,kuenyoj madikodiko naenyoma mamaaa,naenyoj mamaaa",mbele sielew huko autume hapa niudownlod
Wewe maana ya nyimbo nini?Nilifikiri wimbo wa maana kumbe ni wa fleva?