Jamani, mbali na ukweli kuwa nyumba zetu nyingi za vijijini hazina vyoo ama havitoshi kwa idadi ya watu wanaoishi katika nyumba hiyo, sioni vibaya mtu kujisaidia porini. Zaidi ya hayo, haja, hasa haja kubwa, haina mzungu wala nani. Niliwahi kuona filamu ambapo Rambo alilishwa haluli, akasahau ubabe wake na kuingia porini kwenda ku-"download" vitu.
Lakini pia tukubali kuwa sisi wenyewe tunajidharau. Ukiwa uzunguni, mzungu hatokufikiria kuwa unaenda kujisaidia akikuona unaingia msituni, sasa kwa nini mwafrika mwenzako umfikirie hivyoM