Mzungu apiga risasi watu 9 Kanisani Marekani

Mzungu apiga risasi watu 9 Kanisani Marekani

Elungata

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2011
Posts
40,343
Reaction score
33,487
Mzungu mmoja huko Marekani amewapiga risasi Wamarekani 9 ambao ni weusi na wenye asili ya Afrika wakiwa kanisani kwenye ibada.

Hili tendo na mengine mengi kama kupigwa risasi na polisi bila hatia n.k linatufundisha nini sisi kama Waafrika na watu weusi?

Ni kwamba Mzungu hata siku moja hawezi kumpenda mtu mweusi mwenye asili ya Afrika kwa maana kama ni rangi hata India ni weusi lakini Mzungu hawezi kuwapiga risasi Wahindi.

Tutajipendekeza tunavyotaka, tutaongea Kiingereza kama wao tunavyotaka, tutawachukia Waarabu kwa kuwa tu ni Waislamu na kuwapendelea Wazungu kwa kuwa wao ni Wakristo na sisi tunajiita Wakristo au kinyume chake, lakini mwisho wa siku kwa Mzungu mtu mwenye asili ya Afrika ni wa mwisho kabisa.

Na haijalishi kama umejipa jina kama lao ukifikiri ya kwamba watakuthamini kwa kujiita Wilbrod, Agustino, Bernard, Freeman, au sijui Julius na Charles, Edward au Mark kwa Mzungu wewe ni mnyama tu anayestahili kuwindwa na kupigwa risasi.

Kwanini huyu Mzungu hajaua Waarabu Waislamu? Ni kwa sababu ukimwambia Mzungu achague Mwafrika Mkristo na Mwarabu Muislamu atachagua Mwarabu Muislamu na huo ndio ukweli.

Hata watu Waafrika mnaojiinginza kwenye ugomvi usiowahusu kuhusu Wapalestina na Waisraeli, ukweli ni kwamba wote Waisraeli na Wapalestina ni bora waishi wenyewe kuliko waishi na Mwafrika mweusi.


attachment.php



A white man walked into a historic African-American church in Charleston, South Carolina, and opened fire during a Bible study class, killing nine people Wednesday evening.

The suspect was still at large early Thursday morning. And the shooting at the Emanuel African Methodist Episcopal Church, the oldest AME church in the South, is being investigated as a hate crime.

"The only reason someone would walk into a church and shoot people that were praying is hate," said Charleston Mayor Joe Riley.

Eight churchgoers died at the scene; a ninth at a hospital, police said.

Officials wouldn't say how many people were at the prayer service during the shooting. There were survivors, said Charleston Police Chief Greg Mullen, but he didn't elaborate.

Historic significance

Emanuel African Methodist Episcopal Church has been a presence in Charleton since 1816 when African-American members of Charleston's Methodist Episcopal Church formed their own congregation after a dispute over burial grounds.

It was burned to the ground at one point, but rebuilt.

Every Wednesday evening, the church holds a Bible study in its basement.

The shooting was "obviously the most intolerable and unbelievable act possible," the mayor said.

"People in prayer Wednesday evening. A ritual, a coming together, praying, worshiping God. An awful person come in and shoot them is inexplicable," Riley said.

Police received the first call around 9:05 p.m. Officers arrived to find several victims inside.

"It's really bad. It's a very bad scene," local pastor Thomas Dixon said.

Search on for suspect

Police said the suspect in the shooting is a clean-shaven white man in his 20s, with a slender build. He was wearing a gray sweatshirt, blue jeans and boots.

"He obviously is extremely dangerous," Chief Mullen said. "We will put all our resources, we will put all of our energy in finding this individual."

The department asked anyone with information to call 911 dispatchers.

"While we do not yet know all of the details, we do know that we'll never understand what motivates anyone to enter one of our places of worship and take the life of another," South Carolina Gov. Nikki Haley said.

Heavy police presence

"Like everybody out here, we're sick to our stomachs that this could happen in a church," Rep. Dave Mack, a friend of the church's pastor, told CNN affiliate WCSC.

Corey Wessenger, who was standing across the street from the church, said the area was swarming with law enforcement.

"I just saw a group of about 40 people escorted by cops," Wessenger told CNN by phone.

Community members gathered in a prayer circle just down the street from the scene.

Republican presidential candidate Jeb Bush canceled a scheduled town hall in Charleston on Thursday "due to the tragic events unfolding in South Carolina tonight."
Source: Nine Dead in Shooting Rampage Inside South Carolina Church; Gunman at Large
 

Attachments

  • 29BA4BC900000578-3129109-image-a-117_1434605395621.jpg
    29BA4BC900000578-3129109-image-a-117_1434605395621.jpg
    62.4 KB · Views: 5,886
Elungata
Polisi katika jimbo la South Carolina nchini Marekani wanamsaka mtu mwenye silaha alihusika katika shambulio katika Kanisa la Methodist lililo katika eneo la Charleston.
Habari ambazo bado hazijathibitishwa kutoka vyombo vya habari vya eneo hilo zinasema kumekuwepo na vifo kadha.
Polisi huko Charleston wanasema mtuhumiwa ni mzungu mmoja akiwa katika umri wa miaka ya ishirini.
Shambulio hilo limefanyika katika Kanisa la Emanuel African Methodist Episcopal Church, moja ya makanisa kongwe ya Waafrika Wamarekani nchini Marekani.
 
Last edited by a moderator:
Mzungu mmoja huko Marekani amewapiga risasi Wamarekani 9 ambao ni weusi na wenye asili ya Afrika wakiwa kanisani kwenye ibada!

Hili tendo na mengine mengi kama kupigwa risasi na polisi bila hatia n.k linatufundisha nini sisi kama Waafrika na watu weusi?

Ni kwamba Mzungu hata siku moja hawezi kumpenda mtu mweusi mwenye asili ya Afrika kwa maana kama ni rangi hata India ni weusi lakini Mzungu hawezi kuwapiga risasi Wahindi!

Tutajipendekeza tunavyotaka, tutaongea Kiingereza kama wao tunavyotaka, tutawachukia Waarabu kwa kuwa tu ni Waislamu na kuwapendelea Wazungu kwa kuwa wao ni Wakristo na sisi tunajiita Wakristo au kinyume chake, lakini mwisho wa siku kwa Mzungu mtu mwenye asili ya Afrika ni wa mwisho kabisa.

Na haijalishi kama umejipa jina kama lao ukifikiri ya kwamba watakuthamini kwa kujiita Wilbrod, Agustino, Bernard, Freeman, au sijui Julius na Charles, Edward au Mark kwa Mzungu wewe ni mnyama tu anayestahili kuwindwa na kupigwa risasi!

Kwanini huyu Mzungu hajaua Waarabu Waislamu? Ni kwa sababu ukimwambia Mzungu achague Mwafrika Mkristo na Mwarabu Muislamu atachagua Mwarabu Muislamu na huo ndio ukweli!

Hata watu Waafrika mnaojiinginza kwenye ugomvi usiowahusu kuhusu Wapalestina na Waisraeli, ukweli ni kwamba wote Waisraeli na Wapalestina ni bora waishi wenyewe kuliko waishi na Mwafrika mweusi!
 
Wazungu wabaguzi sana,kwahili Obama aonyeshe msimamo wake sasa
 
Sasa wewe ni kitu gani kinachokwambia hapo kuna udini kwenye hii issue na sio ubaguzi wa rangi? Kwani umeambiwa huyo aliyewapiga risasi hao wakristo weusi ni muislamu?

Baseless conclusion.

Tiba

Haujanielewa nilichotaka kusema ni kwamba iwe fundisho kwetu kama kuna lolote la kujifunza hapo ya kwamba Mzungu Mkristo anachukia Mtu mweusi Mkristo mwenzake tena mwenye jina kama lake la Julius, Edward, Sospeter n.k kuliko anavyomchukia Mwarabu ambaye ni Muislamu na hata asiye na jina kama lake na wala asiyejua kiingereza!
 
What a poor analysis!!! Wewe umeongozwa na udini badala ya reality.

Tiba

Hata ujaribu kuongea kiingereza kama wao huyo jamaa Mzungu angeona tu uso wako pia angekuwasha risasi lakini angemuona Mchina au Muhindi asiyejua Kiingereza kama wewe asingempiga risasi, hivyo Kiingereza chako hakitakuokoa!
Wale waliopigwa risasi wana majina kama wewe ya wazungu kama John, Michael, Grace, n.k, wanaongea kiingereza kama wewe lkn wapi kwa Mzungu ni Nyani tu wa kuwindwa!
 
western media ni double standard sn,ingekua ni mwarabu apo ungeskia GAIDI,kila media,kila kiongozi ange-conderm hilo tukio,lkn kwakua ni mzungu utaskia one-man incident, na ss waafrika tunapelekwa km kondoo,western media chooses on how and what we should think and believe

Wewe ndio tatizo na siyo wao na huyo jamaa angekuona na wewe angekuwasha tu risasi dadadeki!

 
hakika ili ni la kulaaniwa na kila mtu..huyo dogo aliyeshoot atakuwa victm wa drug
R.I.P MY BROTHERS FROM ANOTHER MOTHER
 
fulukundo
Hata Mwarabu akikuona pia atakuwasha tu kwa kuwa wewe ndio tatizo mpaka tujifunze na tupate somo!
 
Last edited by a moderator:
Wamarekani ni wabaguzi sana mara nyingi sana matukio ya kuua wamarekani weusi yanajitokeza,lakini hakuna hatua inayochukuliwa na Viongozi wao.
 
aretaskimario
Ndio maana yake hapa siyo Mzungu vs. Mwarabu bali ni sisi kujitambua na kuamka, tutambue ya kwamba hatumuhitaji Mwarabu au Mzungu ili tuwe tukamilishe Ubinadamu wetu, bali tunajihitaji sisi wenyewe na kwamba wote Waarabu na Wazungu watuona kama wanyama tu ambao mtu anaweza kuwinda na kupiga risasi ajisikiavyo!

Hivyo wakati umefika sasa wa kujitambua tuanzie na yanayowezekana Majina! Serikali ipige marufuku utumiaji wa Majina yote ya Kizungu na Kiarabu na hili liwe kwa watoto wote wanaozaliwa na baada ya kizazi kimoja haya majina ya Kizungu na Kiarabu yatakuwa yamepotea, hilo linawezekana bila ya shida!

Kama Muhindi anatumia Jina lake la kihindi, Mchina anatumia jina lake la kichina ni kwa nini sisi Waafrika tuitwe George, Muhamad, Ahmed au sijui Benjamin? Ni kwanini tusiitwe Masanja, Neema, Furaha, n.k?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom