Ndahani Platinum Member Jun 3, 2008 18,119 9,049 Aug 19, 2009 #81 Kweli ukion vyaelea vimeundwa...sasa unaelea ufisadi tunashangaa nini? wazungu tumewapa jina la heshima,WAWEKEZAJI. Wanawekeza nini na wapi hilo sijui sana.
Kweli ukion vyaelea vimeundwa...sasa unaelea ufisadi tunashangaa nini? wazungu tumewapa jina la heshima,WAWEKEZAJI. Wanawekeza nini na wapi hilo sijui sana.
SPY CATCHER JF-Expert Member Mar 7, 2015 285 186 Mar 15, 2015 #82 Akipewa mzungu mnalalamika Amepewa Mshiriri wa HSC mnalalamika Aapaewa black American mmelalamika sasa apewe nani??
Akipewa mzungu mnalalamika Amepewa Mshiriri wa HSC mnalalamika Aapaewa black American mmelalamika sasa apewe nani??