Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,513
- 8,276
Tena manyang'au ya Kenya ndio utawachoka kabisa
Haya maneno ndo yanasabisha tunanyimwa BVR machine
Tena manyang'au ya Kenya ndio utawachoka kabisa
Namba tisa zipo kenya,wana mahips ya tumboni wakati wenzao wana ya mapajani.
Haya maneno ndo yanasabisha tunanyimwa BVR machine
NI weusi fii labda uje mombasa ndio utapata shombeshombe
Haya maneno ndo yanasabisha tunanyimwa BVR machine
NI weusi fii labda uje mombasa ndio utapata shombeshombe
ndugu leo asubuhi nilikua nasikiliza Ghetto radio ya nairobi mjadala ulikua ni tukio la kijana mmoja kakutwa akifanya mapenzi na kuku, kilicho nifurahisha zaidi ilikua ni simu za wasikilizaji.... hawa jirani zetu are so funny!
Hehehehe!! nilitegemea unajua chochote kuhusu Kenya, kumbe mtu wa vijiweni Bongo.
mtoa post atakubaliana na mimi ndani ya kenya ili uwe valueable ni lazima uwe na swaga za tanzania,hii ni kwa watangazaji,wasanii,watu wa kawaida,tena mademu wa kenya wasisikie ukaongea na simu huku unaongea lafudh ya tz huwa wanapagawa sana tena sana,mwanzoni kabla sijajua udhaifu wao niliwalala sana dada zao na mama zao, , ingia club sasa utakuta gospel zikipigwa humo daimond humohumo na asilimia 80 ya nyimbo zipigwazo kenya ni bongofleva , , , , , , , , , , NITOBOEEE ????
jamani wakenya punguzeni kunywa mataputapu ,dada zao ni mabingwa wa kufanya mapenzi na mbwa ,mtoa post abishe yanayotokea mombasa, watoto wa kiume kenya wanaliwa zaid kuliko tz, wanatoa sana pete mashaallah wamelegea kazi kushinda beach na mirungi kazi kutega wazungu utaskia u know nikikam nitakushow