<br />Nimeona pdf za mzumbe . Jamani sasa sua na ud ni lini?
<br /><br /><br />
<br /><br />
are you sure!
<br /><br /><br />
<br /><br />
kweli ndugu yangu. Kuna jamaa yangu nlimaliza naye mzumbe kajipatia. Ila nimeona kwa macho yangu
<br />Forum hii kwa sasa inatumiwa na vijana kuwadanganya wenzao kuhusu issue mbalimbali. Nashauri jukwaa hili libaki kwa great thinkers kujadili na kubadilishana mawazo ya kisomi na kiutu uzima kwa maendeleo ya jamii.
<br /><br /><br />
<br /><br />
hapo umenena mkubwa, vijana wanatoa taarifa zisizo rasmi, source anasema rafiki yangu!!!
<br />Nimeona pdf za mzumbe . Jamani sasa sua na ud ni lini?