CharlesMunyaka
Member
- Jul 24, 2014
- 65
- 3
Aliyetoa io file ya pdf mwambieni amalize kazi yake basiiiii
Aliyetoa io file ya pdf mwambieni amalize kazi yake basiiiii
Naomba msaada wa kufaham selection yangu maana cjafaham jinsi kuipata na selection yangu iko aproved kwenye profile
Vp kuhusu admission form tutazipata vip. Na je wale wa Bsc ICTB tutaanza chuo lini??
Cheap chakula Kwa rais!!! teh teh
Tar 13. Karibu na jiandae
Kinacho nichanganya ni maelezo yanayoonyesha kunacoz zitaanza 20 oct mpaka 20 feb na kunanyingine hazijaonyeshwa ikiwemo Bsc ICTB je hiz ztaanza lini?
umechek io profile wap mkuu??
Tar 13 ni admission. Sasa usipofanya admission hata kusoma hutosoma
Aende inawezekana. Awahi hiyo tar13 ili aweze fanyiwa transfer