Mchumia Rungu
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 1,439
- 826
Hii leo wanafunzi wa Mzumbe Sekondari wanaandamana kuelekea bungeni Dodoma kimakundi makundi. Wana shida ambazo uongozi aw shule umeshindwa kutatua bila shaka!
Kundi moja limezuiwa na kundi kubwa la Polisi maeneo ya Kasanga hapa hapa Morogoro. Picha na habari zaidi mtaletewa wadau.
Kundi moja limezuiwa na kundi kubwa la Polisi maeneo ya Kasanga hapa hapa Morogoro. Picha na habari zaidi mtaletewa wadau.