Mzumbe na ardhi tatizo nini?

Mzumbe na ardhi tatizo nini?

jamal seif

Member
Joined
Nov 24, 2014
Posts
78
Reaction score
13
Vyuo vingi sana vimekwisha toa post najua tupo wengi sana tunao subiri post zao. Tafadhali naomba waziachie mapema ili sisi watoto wa masikini tujue tunajipanga vipi? Mnatuacha na mawazo sana kwa sababu hatujui hatma yetu mpaka sasa. Tunaomba mtukumbuke jamani kama wapo wahusika nina imani watafikisha maombi yetu
 
Vyuo vingi sana vimekwisha toa post najua tupo wengi sana tunao subiri post zao. Tafadhali naomba waziachie mapema ili sisi watoto wa masikini tujue tunajipanga vipi? Mnatuacha na mawazo sana kwa sababu hatujui hatma yetu mpaka sasa. Tunaomba mtukumbuke jamani kama wapo wahusika nina imani watafikisha maombi yetu

calm down kijana, hivyo vyuo usually ndo huwa vya mwisho kutoa selection, been observing that since 2011
 
hawa jamaa wanatupa stress sana

Mi nilichagua ARDHI post mbili za kwanza na UDSM Post 2 , nilichagua post 4 tu!UDSM tayari washatoa sipo! Nawasubiri hawa ARDHI maana kwa vyovyote ndo ntakuwa nimechaguliwa hapo tatizo sijui coarse ganiiiii.....Kati ya hizo mbili!

Daaaaaah hadi inanichosha sasa!
 
Mi nilichagua ARDHI post mbili za kwanza na UDSM Post 2 , nilichagua post 4 tu!UDSM tayari washatoa sipo! Nawasubiri hawa ARDHI maana kwa vyovyote ndo ntakuwa nimechaguliwa hapo tatizo sijui coarse ganiiiii.....Kati ya hizo mbili!

Daaaaaah hadi inanichosha sasa!
mimi nilichagua udsm 2 ardhi 2 na mzumbe 1 sasa udsm tayari wamekwisha toa bado mzumbe na ardhi yaani hawa jamaa wanazingua sana sio siri
 
Mi nilichagua ARDHI post mbili za kwanza na UDSM Post 2 , nilichagua post 4 tu!UDSM tayari washatoa sipo! Nawasubiri hawa ARDHI maana kwa vyovyote ndo ntakuwa nimechaguliwa hapo tatizo sijui coarse ganiiiii.....Kati ya hizo mbili!

Daaaaaah hadi inanichosha sasa!


Kama profile inasema "YOU ARE SELECTED" basi wewe ni wa Ardhi mkuu, ilikuwa hivyo mwaka jana
 
mimi nilichagua udsm 2 ardhi 2 na mzumbe 1 sasa udsm tayari wamekwisha toa bado mzumbe na ardhi yaani hawa jamaa wanazingua sana sio siri

Mzumbe huwa wanachelewa na sababu ya kuchelewa pale mzumbe kuna kitu wanaita staggered. Mpishano kwenye mihula ya masomo..first year wakiwa chuo second na third wanafunga. Kwa sasa hivi 1st year wapo chuo wanafanya mitihani so tulieni mitihani ikiisha watatemesha majina now wapo busy.

Nafikiri umeelewa eeeh.
 
Mzumbe huwa wanachelewa na sababu ya kuchelewa pale mzumbe kuna kitu wanaita staggered. Mpishano kwenye mihula ya masomo..first year wakiwa chuo second na third wanafunga. Kwa sasa hivi 1st year wapo chuo wanafanya mitihani so tulieni mitihani ikiisha watatemesha majina now wapo busy.

Nafikiri umeelewa eeeh.
nimekupata mkuu
 
Mzumbe tayariiii!!!
https://drive.google.com/file/d/0B79iHru0t18SNDlhVkpfSElSR3M/view?pli=1
 
Mzumbe huwa wanachelewa na sababu ya kuchelewa pale mzumbe kuna kitu wanaita staggered. Mpishano kwenye mihula ya masomo..first year wakiwa chuo second na third wanafunga. Kwa sasa hivi 1st year wapo chuo wanafanya mitihani so tulieni mitihani ikiisha watatemesha majina now wapo busy.

Nafikiri umeelewa eeeh.

Sawa tuxbr
 
Jaman ardhi vip watatoa selections kwa ujumla..I mean first batch and second batch? Au watatoa first batch tu?
 
Back
Top Bottom