Katika mizozo yote, kila siku pana mchokozi na mhanga.
Congo imekuwa ikiinyoshea kidole Rwanda siku zote kuwa ndiyo yenye lake jambo kwenye mzozo huu.
"Kulikoni kushindwa kumfunga Paka kengele? "
Tanzania ya Nyerere haikuukubali katu upuuzi wa namna hii. Haikujali ulikuwa ukitokea Saharawi, Palestine, Iraq, Grenada, Mozambique au Vietnam. Tanzania haikuwahi kukaa kimya.
"Mchokozi asiyesikia hutiwa adabu kabla ya maisha kuendelea."
Kulikoni mzozo wa Congo kuwa wa kudumu na kwa miongo zaidi ya miwili sasa, watu wasiokuwa na hatia wakiendelea kutaabika na hata kufa?
Kulikoni wanajeshi kwa maelfu kutoka nje walioko Congo kwa malengo ya kuuzima mgogoro huu kuendelea kuwapo bila ya mafanikio?
Kwanini mtuhumiwa huyu asisimamishwe uanachama EAC japo kwa kuanzia ili kujiridhisha na ikithibitika akafunzwa adabu vilivyo?
Congo imekuwa ikiinyoshea kidole Rwanda siku zote kuwa ndiyo yenye lake jambo kwenye mzozo huu.
"Kulikoni kushindwa kumfunga Paka kengele? "
Tanzania ya Nyerere haikuukubali katu upuuzi wa namna hii. Haikujali ulikuwa ukitokea Saharawi, Palestine, Iraq, Grenada, Mozambique au Vietnam. Tanzania haikuwahi kukaa kimya.
"Mchokozi asiyesikia hutiwa adabu kabla ya maisha kuendelea."
Kulikoni mzozo wa Congo kuwa wa kudumu na kwa miongo zaidi ya miwili sasa, watu wasiokuwa na hatia wakiendelea kutaabika na hata kufa?
Kulikoni wanajeshi kwa maelfu kutoka nje walioko Congo kwa malengo ya kuuzima mgogoro huu kuendelea kuwapo bila ya mafanikio?
Kwanini mtuhumiwa huyu asisimamishwe uanachama EAC japo kwa kuanzia ili kujiridhisha na ikithibitika akafunzwa adabu vilivyo?