Mzindakaya naye akiunga mkono Chadema

Luteni

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
2,274
301
Mwanasiasa mkongwe na kada wa CCM, Chrisant Mzindakaya amekitaka chama cha Mapinduzi CCM kujibu hoja za Chadema kwa kuwatumia viongozi wa mikoa ambayo Chadema wanafanya mikutano badala ya kumsubiri Waziri Mkuu au rais kujibu hoja.

“Viongozi wa CCM katika mikoa ambayo Chadema wanapita na kutoa hoja zao, wajibu kwa kuponda hoja hizo ili wananchi waelewe hali halisi na siyo kumsubiri Waziri Mkuu au Rais kujibu hoja,” alisema Mzindakaya.

Amehoji iweje Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC) kuwa kimya muda wote kama iko likizo na kuiachia Serikali kazi ya kisiasa hasa katika kipindi hiki?

Source: HabariLeo
 
Majibu ya CCM ukijifanya much know utakosa kazi, yanaenda kwa utaratibu kwa sababu kuna don't-mention nyingi sana. Unaweza kujibu ukajikuta umemgusa JK au Pinda mwenyewe hapo utaitwa utoe maelezo ndo maana watu woooote na wabunge woooote wa ccm wamekuwa waoga kuongea. CDM kinakubalika na hakuna wanachoweza kufanya kukizuia i swear !
 
Mwanasiasa mkongwe na kada wa CCM, Chrisant Mzindakaya amekitaka chama cha Mapinduzi CCM kujibu hoja za Chadema kwa kuwatumia viongozi wa mikoa ambayo Chadema wanafanya mikutano badala ya kumsubiri Waziri Mkuu au rais kujibu hoja.

"Viongozi wa CCM katika mikoa ambayo Chadema wanapita na kutoa hoja zao, wajibu kwa kuponda hoja hizo ili wananchi waelewe hali halisi na siyo kumsubiri Waziri Mkuu au Rais kujibu hoja," alisema Mzindakaya.

Amehoji iweje Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC) kuwa kimya muda wote kama iko likizo na kuiachia Serikali kazi ya kisiasa hasa katika kipindi hiki?

Source: HabariLeo

Hata CCM walio wengi si mafisadi kwa hiyo wanapigika na mgao wa umeme na gharama za umeme kuwa juu na bei ya bidhaa mbalimbali kupanda hovyo ndio maana hawataki unafiki wa kutetea upuuzi wa mafisadi na uzembe wa viongozi walioshidwa kucontrol bei na uchumi
 
.

Kwani CCM "itasafisha" au "kuponda" hoja gani wakati wote hao yaaani CCM+Serikali ndo watuhumiwa ?? Je, nani aisiyejua kwamba NGEDERE na KIMA ndio wezi wa mahindi yetu ? Je, nani amsafishe mwingine?? ngedere au kima ???

Chadema, Go, we are together hadi hawa ngedere-watu na Kima wanaoiba na kuhujumu shamba letu la mahindi wakamatwe na kuathibiwa vikali !!!!
 
Ninapata shida na kichwa cha habari! Labda nakosea ni wapi ameunga mkono CHADEMA?
 
Mbona kazi ipo. Jana Paul Ndobho kaongea, leo Mzindakaya, majuzi Butiku, jamani kwani sisiemu haina msemaji? Kazi ya Kapt. Chiligati ni ipi basi?
 
Mwanasiasa mkongwe na kada wa CCM, Chrisant Mzindakaya amekitaka chama cha Mapinduzi CCM kujibu hoja za Chadema kwa kuwatumia viongozi wa mikoa ambayo Chadema wanafanya mikutano badala ya kumsubiri Waziri Mkuu au rais kujibu hoja.

"Viongozi wa CCM katika mikoa ambayo Chadema wanapita na kutoa hoja zao, wajibu kwa kuponda hoja hizo ili wananchi waelewe hali halisi na siyo kumsubiri Waziri Mkuu au Rais kujibu hoja," alisema Mzindakaya.

Amehoji iweje Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC) kuwa kimya muda wote kama iko likizo na kuiachia Serikali kazi ya kisiasa hasa katika kipindi hiki?

Source: HabariLeo


Mzindakaya naye kweli kachoka kisiasa na akili yake haiangalii mbali, labda swali dogo kwake nimuulize hivi...Ni Makada wepi kutoka kundi gani ktk CCM wilaya/Mkoa walio na haki ya kuijibu CDM, je ni Makada fisadi ngazi ya Wilaya/Mkoa? au Makada Wapiganaji ngazi ya Wilaya/Mkoa? Mzindakaya anapaswa kulijua hilo kwanza ...ushauri wa bure kwake ni kwamba kokoro lenu limebeba uchafu safisheni kwanza mkianzia na uozo wa Rostam wakifuatia makada wachafu na baada ya hapo mgonjwa atatoka ICU..ila kwa jinsi tunavyowajua mmeshakata tamaa na mnasubiri miujiza ya mola wenu
 
Mzindakaya anataka CCM ijibu nini, wakati anajua fika chama chake akina jibu lolote kwa hoja za msingi zinazoibuliwa na CDM. Ndiyo maana wale wote ambao wamejaribu kujibu hoja hizo, akiwemo waziri mkuu mwenyewe, wameishia katika vitisho!
 
Mwanasiasa mkongwe na kada wa CCM, Chrisant Mzindakaya amekitaka chama cha Mapinduzi CCM kujibu hoja za Chadema kwa kuwatumia viongozi wa mikoa ambayo Chadema wanafanya mikutano badala ya kumsubiri Waziri Mkuu au rais kujibu hoja.

"Viongozi wa CCM katika mikoa ambayo Chadema wanapita na kutoa hoja zao, wajibu kwa kuponda hoja hizo ili wananchi waelewe hali halisi na siyo kumsubiri Waziri Mkuu au Rais kujibu hoja," alisema Mzindakaya.

Amehoji iweje Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC) kuwa kimya muda wote kama iko likizo na kuiachia Serikali kazi ya kisiasa hasa katika kipindi hiki?

Source: HabariLeo

Ujasiri kama huu wa Mzindakaya ...CCM wanaukosa na itawagharimu sana...

hakuna mtu aliyebaki CCM mwenye ujasiri wa kujibu hoja nyepesi tu ambazo CHADEMA wanahoji!!

Kwa mapungufu hayo CCM wanjikanyanga ...mpaka wanajimaliza wenyewe..
 
Mwanasiasa mkongwe na kada wa CCM, Chrisant Mzindakaya amekitaka chama cha Mapinduzi CCM kujibu hoja za Chadema kwa kuwatumia viongozi wa mikoa ambayo Chadema wanafanya mikutano badala ya kumsubiri Waziri Mkuu au rais kujibu hoja.

"Viongozi wa CCM katika mikoa ambayo Chadema wanapita na kutoa hoja zao, wajibu kwa kuponda hoja hizo ili wananchi waelewe hali halisi na siyo kumsubiri Waziri Mkuu au Rais kujibu hoja," alisema Mzindakaya.

Amehoji iweje Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC) kuwa kimya muda wote kama iko likizo na kuiachia Serikali kazi ya kisiasa hasa katika kipindi hiki?

Source: HabariLeo

Hawa CCM, iwe mzee au kijana ni matatizo matupu, Watanzania wanataka umeme, Mafisadi washughulikiwe, Maisha bora bei ya vitu kushuka. Katika haya yote CCM watajibu nini? mbona wanajidanganya, Mzindakaya anasema CCM ijibu utadhani yeye CDM, Sumaye anasema CCM ijibu utadhani yeye CUF, Hawa kweli mwisho wao umefika.
 
Mzindakaya naye kweli kachoka kisiasa na akili yake haiangalii mbali, labda swali dogo kwake nimuulize hivi...Ni Makada wepi kutoka kundi gani ktk CCM wilaya/Mkoa walio na haki ya kuijibu CDM, je ni Makada fisadi ngazi ya Wilaya/Mkoa? au Makada Wapiganaji ngazi ya Wilaya/Mkoa? Mzindakaya anapaswa kulijua hilo kwanza ...ushauri wa bure kwake ni kwamba kokoro lenu limebeba uchafu safisheni kwanza mkianzia na uozo wa Rostam wakifuatia makada wachafu na baada ya hapo mgonjwa atatoka ICU..ila kwa jinsi tunavyowajua mmeshakata tamaa na mnasubiri miujiza ya mola wenu
Tatizo la CCM si kwamba hawana majibu wanaweza kuja na majibu mazuri ukashangaa tatizo liko kwa nani ajibu, ukiangalia NEC yote kila mtu anajihisi ndiyo maana wanawaachia Pinda na JK kazi za kisiasa sijui za kiserikali watazifanya lini.
 
CCM Bwana hawana akili unajua wanatafuniwa kila kitu na Chadema!!! Wao walipaswa ku act on those issues za Chadema ili kusiwe na gaps tena....Mi sielewi issue iko wapi??? ya nini kuwatishia Polisi au Mahakama? we grab those issues peleka serikalini wana act on those..thats it...wao CCM kutwa :blah:
 
Ninapata shida na kichwa cha habari! Labda nakosea ni wapi ameunga mkono CHADEMA?

Hajaunga mkono lolote. Heading inapotosha. Wote ni yale yale
Chadema wasingekuwa na hoja sidhani Mzindakaya angetamka hayo kama anataka hoja za Chadema zijibiwe kwa hoja maana yake nini hoja za Chadema ni za msingi. Kwa mtu mzima kuunga mkono kitu si lazima atamke neno 'naunga',
 
Ujasiri kama huu wa Mzindakaya ...CCM wanaukosa na itawagharimu sana...

hakuna mtu aliyebaki CCM mwenye ujasiri wa kujibu hoja nyepesi tu ambazo CHADEMA wanahoji!!

Kwa mapungufu hayo CCM wanjikanyanga ...mpaka wanajimaliza wenyewe..


gime me a breack please, ni ujasili upi huo wa Mzindakaya aliounesha? au hii thread ina remixer yake ambayo mimi huenda sijaisoma? mbona alichoongea Mzindakaya hata mjumbe wa nyumba kumi anaweza kuongea au wapo wanaoongea sana tu lakini hawana media coverage? kama Watanzania tuna mawazo ya hovyo namna hii, basi kuna zaidi ya tatizo.
 
gime me a breack please, ni ujasili upi huo wa Mzindakaya aliounesha? au hii thread ina remixer yake ambayo mimi huenda sijaisoma? mbona alichoongea Mzindakaya hata mjumbe wa nyumba kumi anaweza kuongea au wapo wanaoongea sana tu lakini hawana media coverage? kama Watanzania tuna mawazo ya hovyo namna hii, basi kuna zaidi ya tatizo.
Ni mawazo gani ya hovyo aliyoongea Mzindakaya.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom