Kama kumshambulia rais ndio sifa kuu ya utendaji kwa Tanzani; serikali ije JF na itapata washambuliaji wengi ambao wataweza kuliokoa taifa letu.
Watu wamepewa nafasi na wameshindwa, hao ndio tunaimba wanafaa kwasababu tu wamemshambulia rais? Give me a break! I will be the last one to buy into such argument.
Watu wamepewa nafasi na wameshindwa, hao ndio tunaimba wanafaa kwasababu tu wamemshambulia rais? Give me a break! I will be the last one to buy into such argument.