Mzimu wa kutendwa unaniandama

Mzimu wa kutendwa unaniandama

And I can't keep a girl, no
'Cause as soon as the sun comes up
I cut 'em all loose and work's my excuse
But the truth is I can't open up
 
Tatizo Kevi unadhani mapenzi ni pesa! Nifate inbox nikupe tips how you should handle a woman and most importantly what qualities you should look from a woman of your future. Ila inaonekana unaangalia sura zaidi na unatumia pesa kama kigezo chakuwavutia wanawake of which is very wrong!
Si ungeeka hapa nasi tupate dada angu???
 
Kuna huu Msemo wa huyu mrembo " Ubarikiwe mpaka ushangae" kisha akanipiga kibuti Mimi ata siuelewagi
 
Aliyekudanganya kuwa ukiwa unajua kuhonga ndo utakaa na mpenzi ni nani? Pole na jipe moyo utampata size yako atakayekupenda
Diamond ft Ney wa Mitego
Mapenzi Pesa!!! Asikudanganye Mapenzi kubet bwanaaah
 
Ahhahahaha mkuu nimekusikitikia mpaka nimecheka. Nahuyu naye ulikuwa umemtumia pesa au!??

Hilo jini lako ndo linaitwa chuma ulete kama sikosei. Cc: mshana jr
Huyu wa mwisho sikua nmemtumia pesa ana vimbwanga vyake nae vingi ....lakini kakomalia eti Mimi napiga kitwanga sana ata Si kwelii
 
Dah kweli hii dunia haijawahi kuwa fair wakati wewe unakimbiwa mimi nang'ang'aniwa mpaka nakosa raha yaani nikichukua dem wa kawaida tu wa kuzugia siku ya kuachana nae kasheshe yaani ataniganda kama ruba mpaka nahofu kuanzisha mahusiano mapya
 
"dah! pole sana ukute hapo pesa zako ulizokuwa unamuonga kuna sharobaro au mwanaume wa dalisalama alikuwa anamlea"
 
Dah kweli hii dunia haijawahi kuwa fair wakati wewe unakimbiwa mimi nang'ang'aniwa mpaka nakosa raha yaani nikichukua dem wa kawaida tu wa kuzugia siku ya kuachana nae kasheshe yaani ataniganda kama ruba mpaka nahofu kuanzisha mahusiano mapya
Hongera mkuu na wewe uwache kuwa na demu wa kuzugia .....Ndio maana wakija kwetu wanatuumiza tena katkati ya rahaa
 
Huwa najiuliza na wanaume tulivo wachache ...sijui wanakimbiliaga wapi!!
 
After miamala tu ukapigwa chini. .... acha ibak story tu
 
Akina Kevi huwa wana mikosi kweli.. badili jina
 
Tatizo ni wewe mwenyewe, nawahi ftari nitarudi kukueleza kwa kirefu.
 
dhu pole mpaka laki mbil kwa mtoto wa chuo na bado anasema et haijafika utazan wewe baba ake me naombwa elf 10 namzungusha then natuma buku saba na athubutu kuuliza me si baba ake shwain ! uko vzur kweny kuonga ngoja nimalizie kusoma uzi wako niliishia hapo ulipo mtumia ela pungufu...
 
yesu wangu kumbe ukapigwa chini baada ya kutuma ela daaa asee hi cjawah sikia em tuma picha tukuone huenda unatisha
 
Tatizo Kevi unadhani mapenzi ni pesa! Nifate inbox nikupe tips how you should handle a woman and most importantly what qualities you should look from a woman of your future. Ila inaonekana unaangalia sura zaidi na unatumia pesa kama kigezo chakuwavutia wanawake of which is very wrong!

Damn Kevi!

Is the "class" only limited to him? Asking for a buddy of mine.
 
Ila kama umemla maranying flesh tu, ndo mana skuiz watu wanawaza kuwakomesha madem katika mapenz Mara wengine waongeze ukubwa wa vibamia Mara dawa za kimasai ili kuwajutisha kwajili hii
 
Back
Top Bottom