Mshana Jr mkuu naomba elim yako juu ya hizo kofia kama nahisi kuna kitu kipo nyuma ya pazia kwanini wote walio pewa ni watu ambao walisha wahi kuwa na ushawishi mkubwa kwenye jamii au bado wana ushawishi mkubwa kwenye jamii
Kwenye kampeni za CCM baada ya wasanii kupewa zawadi yakofia leo mzee wetu Lowassa amekabidhiwa zawadi ya kofia kutoka kwa mgombea Urais kupitia Tiketi ya CCM ndugu JMP
Kampeni zinaendelea View attachment 1611035
Huyu ndiye chadema wakaona anafaa kuwa rais!Maskini mzee wa watu
Tusubiri majibu mkuuKweli mkuu hata mimi ningependa kujua.
mimi sizitaki; zinaweza kunipa maadui!!Magu usimalize zote niwekee moja.
Alipokuwa mgombea Urais kupitia Chadema.Hivi ufisadi wake uliishia wapi? Baada ya kurudi chamani!?
Kwisha habari yake.Kwenye kampeni za CCM baada ya wasanii kupewa zawadi yakofia leo mzee wetu Lowassa amekabidhiwa zawadi ya kofia kutoka kwa mgombea Urais kupitia Tiketi ya CCM ndugu JMP
Kampeni zinaendelea View attachment 1611035View attachment 1611058