Mzee kamtuma mtoto wake aende akamnunulie VIAGRA mtoto kufika phamacy akaambiwa mwambie mzee anywe vidonge viwili nusu saa kabla ya tendo la ndoa. Mtoto kacheza njiani akasahau maagizo akaenda mwambia baba yake mbili kutwa mara tatu. Mzee akatandika 2x3. yule jamaa wa phamacy akakutana na mtoto akamuuliza mzee anaendeleaje? mtoto akamjibu we acha hivi ninavyokwambia mama katoroka nyumbani, dada ana mimba na mimi ****** unawaka moto na marehemu sanduku halifungi.yaani mzee kafa lakini ngoma imesimama mpaka sanduku linashindwa kufunga