Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,784
- 3,205
Naangalia channel muda huu naona eti kuna watu wanatoa ushuhuda baada ya kupewa sabuni kutoka kwa mzee wa upako wakaogee watapata magari.
Hii imekaaje wakuu?
Hii imekaaje wakuu?
Naangalia channel mda uu eti kuna watu wanatoa ushuhuda baada ya kupewa sabuni kutoka kwa mzee wa upako wakaogee watapata magari..ii imekaaje wakuu
Pia anatoa mafuta ambayo mtu anapaka sehemu za siri ili kutatua mgogoro wa ndoa!!!Naangalia channel mda uu eti kuna watu wanatoa ushuhuda baada ya kupewa sabuni kutoka kwa mzee wa upako wakaogee watapata magari..ii imekaaje wakuu
Mambo ya imani ni magumu sana mkuu
Naangalia channel mda uu eti kuna watu wanatoa ushuhuda baada ya kupewa sabuni kutoka kwa mzee wa upako wakaogee watapata magari..ii imekaaje wakuu
Imani hii ilipelekea watu wengi wakiwemo Wabunge kunywa uchafu Loliondo wakiamini kuwa wanapona UkimwiMambo ya imani ni magumu sana mkuu
Hakuna tofauti wote ni matapeli tuu !!Kwani ana tofauti na TB Joshua na Babu wa Loliondo ?
kuna anoity water, kikombe cha loliondo na hizo sabuni za upako !
Tofauti ipo annoited water ni bure,kikombe cha babu unanunuaKwani ana tofauti na TB Joshua na Babu wa Loliondo ?
kuna anoity water, kikombe cha loliondo na hizo sabuni za upako !
Tofauti ipo annoited water ni bure,kikombe cha babu unanunua
kama unapaka ukapata gari kuna ubaya gani!