Mzee wa Mshitu Nape Nnauye asaidia Wananchi kuzalisha korosho ys Sh. 14 Billion

nngu007

JF-Expert Member
Aug 2, 2010
15,862
5,797
Mzee wa Mshitu: Nnauye; NYAMAYAO NA PETE NIMEOMBWA KUPIGA PICHA NA KUSHUGHULIKIA WATU WA CHINI NIKAAHIDI NDO KAZI NINAYOIANZA.NILIANZA KWA KUSIMAMIA BEI NZURI YA KOROSHO, MASASI TUKAZALISHA ZAIDI YA KOROSHO YA 14BILL. NA MKULIMA KAPATA PESA NZURI KULIKO MISIMU MINGINE NA KAZI INAENDELEA




199266_201195196568568_100000342668655_640157_7507214_n.jpg
http://www.facebook.com/#
http://www.facebook.com/#
 
Suti gani hiyo katika suti na wewe,suti anavaa LOWASSA bwana.....hii suti inaonekana kabisa ya kushonesha kwa fundi mangungo pale tandamti street kariakoo.
 
Kazi ya mkuu wa wilaya ni kufunga na kufungua mikutano, sasa usaidizi huo ameutoa kwa njia ipi?
 
Anastahili pongezi............mie ninatumaini kwa huyu mheshimiwa! anagalau amewahi kutuonyesha uzalendo!
 
hivi nikweli nasikia hata u DC alipewa baada ya kwenda kuwa blackmail kwamba yeye ana contact za gazeti moja linalowashughulia viongozi mafisadi sasa wasipompa nafasi atawaacha wamlipue mkulu. Halafu juzi juzi nasikia aliposikia sumaye ataongea anakimbilia huko kuwaambia kwamba sumaye anatoka chama
 
Back
Top Bottom