Mzee wa kipemba

Fatma Bawazir

JF-Expert Member
Dec 24, 2010
492
180
Mzee mmoja wa kipemba alikuwa amevaa shuka yake alisafiri na jahazi akielekea pemba walipofika katikati ya bahari mara upepo mkali ulianza kuvuma mzee akaweka mikono yake kichwani kuzuia kofia yake mara shuka ikapanda mabegani kwa upepo huku chini akawa kama alivyo zaliwa (uchi) jamaa mmoja akamwambia sasa mzee si uzuie hiyo shuka hukuchini, mzee akajibu hii kofia ni mpya nimenunua juzi tu lakini hizi mali za chini nna miaka sabini nnazo wala hazitachukuliwa na upepo
 
Mzee wala hakukosea. Mfano mwanamme anataka kuvuka kwenye mto na kuna mwanamke anaoga (labda ameona nguo zimewekwa kama ishara).

Basi hutakiwa kusema 'hodi wenyewe', na mwanamke hujibu 'e pita wee si utaona ganda tu ndizi wala wenyewe'.
 
Mzee wala hakukosea. Mfano mwanamme anataka kuvuka kwenye mto na kuna mwanamke anaoga (labda ameona nguo zimewekwa kama ishara).
Basi hutakiwa kusema 'hodi wenyewe', na mwanamke hujibu 'e pita wee si utaona ganda tu ndizi wala wenyewe'.
Watania weye, eti?
 
Back
Top Bottom