Duuu maisha kweli ni pinduapinda Sumaye yule ninaemju kumbe bado yuko dar? Dunia nzima iko dar yeye kajichimbia docho ! Lakini hayo maisha kayataka mwenyewe
Maisha gani aliyoyataka? Ni Bahati mbaya sana Watanzania tunaruhusu kuua dhamiri zetu kwaajili ya mambo madogo madogo sana.Mambo yote.ya duniani ni ubatili mtupu.
Duuu maisha kweli ni pinduapinda Sumaye yule ninaemju kumbe bado yuko dar? Dunia nzima iko dar yeye kajichimbia docho ! Lakini hayo maisha kayataka mwenyewe